Kibishi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,129
- 983
Leo tarehe 22 mwezi wa 5, mbwa mwenye kichaa wa mtaa wa Njedengwa ameng'ata watoto kadhaa, baada ya raia kushindwa kumuua tukapiga simu polisi kuja kusaidia kumuua mbwa huyu, polisi wamekuja na SMG kwa ajili ya kumuua, wamemlenga kwa risasi zaidi ya 10 hapa na hapa lakini hawajampata.