The Russian Orthodox Church has effectively cut diplomatic relations with the Patriarchate of Constantinople, which has authority over the world's 300 million Orthodox Christians.
It follows...
Siku za hivi karibu kumetokea tukio la mauaji ya watoto wawili huko Nachingwea mkoani Mtwara
Dotusi Isaya alitekeleza mauaji hayo kwa kuwaua watoto wawili na kumjeruhi Mariam Lucas aliyekuwa mke...
Hassan amedai aliondoka Tanzania bila support kutoka kwa Watanzania kwani hata kibali cha kwenda huko alikosa.
“Katika vitu sitavisahau ni kwamba mimi nilisafiri hapa kama mfungwa, nilikosa...
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewataka wakandarasi wote nchini wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini, kuwa na Yadi maalum za kuhifadhi vifaa katika maeneo wanakotekeleza miradi hiyo...
Watu wawili raia wakigeni wamenusurika kifo katika ajali ya ndege ndogo aina ya ACQUILLA-MICROLIGHT 912 iliyoanguka katika eneo la shule ya sekondari Chambo halmashauri ya Ushetu Kahama na...
Habari wana Ukumbi,
Leo nimekuja hapa barazani kufikisha kero yangu kwa benki ya NMB tawi la Mbalizi road MBEYA.
Mwaka 2013 mwezi wa Nne (04) nilienda kwenye ofisi zao, kwa minajili ya kuomba...
Wana jamii,
Kuna hawa watanganzaji wawili waliibuka sana kipindi kile -- nakumbuka at my school age nilipenda kwenda pale salentine inn -- mwenge siku za weekend lazima utamkuta monica mfumia...
JOHN WALTER-BABATI
Kaya zaidi ya 30 katika eneo la Maramboi kijiji cha Vilima vitatu wilaya ya Babati zimeteketezwa kwa moto huku Wakina mama wakiwa na watoto wachanga na wengine wajawazito...
Flora Rutahakana, assistant director, remember, are only five members of director in WHO- TDR,
F. Rutahakana was born in Kagera ,Tanzania,
Her duties
Responsible for relations with regional...
Habari wakuu!!
Nikiwa kama kijana mwenye fikra tata ambazo baadhi huweza kuzipokea vibaya kulingana na mfumo waliolelewa. Sitaogopa kusema ukweli bila kujali unamgusa nani. Wapo wengine wanadhani...
UJENZI wa stendi mpya ya mabasi yaendayo ndani na nje ya nchi katika eneo la Mbezi Luis Jijini Dar es Salaam unatarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa baada ya kumpata mkandarasi atakayejenga...
Tufanye majimbo yote ya uchaguzi madiwani na wabunge wote ni CCM,
Alafu tufanye
Hakuna tena hizi taasisi kama twaweza n.k maana juzi juzi wametengenezewa sheria ya kuwafunga mdomo
Nani anapata...
KUCHELEWESHA/KUWAACHA ABIRIA UWANJANI HII NI BIASHARA MBOFU KABISAAA...
TAFAKARINI CHUKUENI HATUA STAHIKI.
Hii sio tabia nzuri kabisaa haiwekezani mubadilishe gia angani kirahisi hivii.
Mmeleta...
Kama kawaida yangu GENTAMYCINE hupenda kufanyafanya ' tafiti ' zangu za Masuala ya Kijamii na kwa takribani wiki sasa ambayo inaisha leo nilikuwa katika zoezi moja ' Maalum ' la Kujua ni kwanini...
Ukahaba ni tendo la kufanya ngono nje ya ndoa au uhusiano unaokubalika katika jamii, tena na watu mbalimbali na kwa malipo. Watendaji wanaopokea malipo huitwa kahaba au malaya; washiriki wanaotoa...
Ndg zangu pamoja na mambo mengine kama wanadamu
Hatuna budi kumtegemea Mungu kwa kila jambo
Ni wiki nyingine tena tunaianza humo katikati kuna mengi yatajitokeza
Hivyo ili tuwe salama tufanya...
Mgombea ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Julius Kalanga ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi mdogo baada ya kupata kura 65,714 sawa na asilimia 95 ya kura zote.
Akitangaza matokeo hayo...
Habari za muda huu wapendwa,
Niende moja kwa moja kwa wapenzi wa kwenda sehemu za ufukweni kwa ajili ya kupumzika na hata kuoga hasa za jijini dar es salaam
Kumekuwa na vijana wengi ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.