mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 14,191
- 19,115
TAG wameonesha ukomavu wa kiroho kwa kuamua kuachilia na kusamehe mali zake ambazo mahakama ilikuwa imetoa uamuzi zirejeshwe TAG.
Ifahamike kuwa EAGT pia ina mgogoro na makanisa mengi tu yaliyojimega toka EAGT yakienda na majengo na mali za EAGT. EAGT wamekuwa wakidai mali hizo na baadhi yake walifanikiwa kuzirejesha kupitia suluhishi mbalimbali kama za wakuu wa wilaya na mikoa, japo mahakamani walikwama.
Ni vizuri sasa na EAGT kwa hiari yao watangaze rasmi kuachilia na kusamehe mali hizo kama walivyofanyiwa wao! Bila shaka Askofu Mwaisabila anasubiri kwa hamu EAGT nao waachilie! Swali ni je watafanya hivyo?
Ifahamike kuwa EAGT pia ina mgogoro na makanisa mengi tu yaliyojimega toka EAGT yakienda na majengo na mali za EAGT. EAGT wamekuwa wakidai mali hizo na baadhi yake walifanikiwa kuzirejesha kupitia suluhishi mbalimbali kama za wakuu wa wilaya na mikoa, japo mahakamani walikwama.
Ni vizuri sasa na EAGT kwa hiari yao watangaze rasmi kuachilia na kusamehe mali hizo kama walivyofanyiwa wao! Bila shaka Askofu Mwaisabila anasubiri kwa hamu EAGT nao waachilie! Swali ni je watafanya hivyo?