Kwa hii picha nmesikitika sana kujua kwamba kuna baadhi za shule zina itikadi za kibaguzi hadi sasa, unaweza kujisifia umempeleka mtoto wako shule nzuri ya milioni 30 kwa mwaka ambayo ina watoto...
Habari za humu wanajamvi, naamin mu wazima wa Afya, leo naomba kuwashirikisha Kuhusu unyanyasaji wa hawa ACACIA ambaye ni mshirika wa AFRICAN BARICK GOLD(ABG) ambao wanamiliki migodi ya dhahabu...
Habarini wadau, natumai mu wazima wa afya na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila kukicha.
Leo nimeona magazeti mengi yakiandika kuhusu shule binafsi kutoruhusiwa kurudisha wanafunzi...
Wapendwa tusaidiane . Kuna nyaya za umeme zimekatika zimelala barabarani hapa Sinza A karibu na nice lodge zina moto na zinatoa cheche . Tumewapigia TANESCO Tangu saa kumi till now hawajaja ...
Watu watatu wanaotuhumiwa kupanga na kufanikisha kumuibia Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe begi lililojaa pesa, wamekamatwa na kuburuzwa Mahakamani.
Vyombo vya habari nchini humo...
Mkazi wa Kijiji cha Wami Luhindo Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, Salma Omary, amenusurika kuuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali na mtu asiyejulikana baada ya kupokea fedha za kusaidia...
Ikiwa imepita zaidi ya miaka mitatu toka awamu ya tano kuingia madarakani, tumeshuhudia panga pangua ya safu za uongozi kila kukicha. Hii ilianza mapema tu baada ya awamu mpya kushika nchi...
Kuna uzi niliuanzisha kuhusu kuuliza maswali kuhusu ......(wasijefuta tena)wakaufuta na maswali yalikuwa mengi,najibu baadhi ya yale ninayokumbuka.
Miongoni mwayo ni
Kwa nini mnaoa wake wanne...
Kwa mara nyingine tena kama kawaida ya Raisi wetu mpendwa ndugu John Joseph Pombe Magufuli, raisi wa wa watu anakwenda kuzindua ndege yetu nyingine, kwa hakika Tanzania inasonga mbele!!!
Habari wanaJF,
Nimepata taarifa kuwa Mtu mmoja amejirusha kutoka Ghorofa ya 5 pale Hospitali ya BUGANDO na kufariki hapo hapo.
Tukio hilo limetokea jioni hii, lakini sababu za mtu huyo kujiua...
Askari kanzu kukamata wadanganyifu wa mafao: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Jenister Mhagama, amesema kuanzia sasa kwenye ofisi za...
Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe amewaambia Wenyeviti wa vijiji wamkamate na kumuweka ndani mtu yeyote ambaye hajachangia ujenzi wa MAABARA katika shule za Secondary.
Asipotoa pesa kwa muda wa saa 6...
Baada ya serikali kutoa maelekezo ya kurejea katika kikokotoo cha zamani, wastaafu wanaotoka sekta binafsi sasa wataendelea kulipwa mafao ya mkupuo kwa asilimia 25 ya michango yao, huku wale wa...
UNAPORUHUSU. NAIBU WAZIRI KUONGEANA WEWE ULE N HESHIMA KWAKO ANA MAMBO MENGI YA KUFANYA
SASA KWANINK UOMBE RADHI
1))SIPENDI ULIPOONGELEA SWALA LA MH RC WA ARUSHA NA MKUU WA WILAYA YALE N MAMBO...
Ndugu zangu juzi nilikuwa na safari ya kutoka Norway kuja hapa kwetu. Nilikuwa na mabegi matatu, bag moja lilikuwa na simu nne, nikaambiwa mkaguzi mmoja nichukue bag niende nazo kwenye chumba cha...
God is constantly in war, His disire is to villain other spirits. God is spirit and spirit comes from another spirit. Labda tujiulize ilichukua muda gani wa yeye kujitambua kuwa ananguvu zote...
Habarini za usiku huu, naombeni mwenye biblia anisaidie ninapitia wakati mgumu sana kwa moyo wangu wote nimeamua kumrudia muumba wangu kuanzia sasa mpaka kifo changu
Nikishawai kureta andiko la...
Wakuu naomba kufahamu nauli ya Kutoka Stendi kuu ya Mabasi Dodoma kwenda Ihumwa (Mji Mpya)
Ni shilingi ngapi?
Na pia nahitaji kujua Umbali wake.
Tafadhali sana nahitaji msaada wenu wakuu.
Wataalamu wa anga za juu wamefichua kwamba walinasa mawimbi ya redio ya ajabu ambayo yalikuwa yanatoka mbali sana katika anga za juu.
Mawimbi hayo yalinaswa na darubini ya kufuatilia mawimbi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.