Serikali na matamko yake ni sahihi au basi ni movie kila kukicha!

africansongs

Member
Jan 5, 2018
83
225
Habarini wadau, natumai mu wazima wa afya na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila kukicha.
Leo nimeona magazeti mengi yakiandika kuhusu shule binafsi kutoruhusiwa kurudisha wanafunzi nyumbani kwa kigezo cha ada.
Mimi naomba kuuliza, hivi hizi shule binafsi zinapokea ruzuku kutoka serikalini na kama hazipokei, inakuwaje serikali iwalazimishe kuendelea na watu wasio lipa ada, hao walimu watalipwa na mshahara upi, je kama ni boarding, chakula kinatoka wapi, serikalini ama?
Embu tujadiliane kwa hili.
 
Serikali lazima itamke na kukemea uonevu, Serikali ya watu kwaajili ya watu, inawajibika kuwasaidia na kuwatetea walioiweka madarakani. Serikali haimaanishi wasilipe ada Bali uwepo utaratibu wa kudai ada usiomuathiri mwanafunzi kitaaluma. Juzi tumesoma hapa michango na fain, kwanini ulazimishe mzazi alipe ada ya mwaka mzima wakati kuna mihula?, Serikali ipo sahihi na matamko yaendelee. Bila serikali kutoa matamko, wataumia wananchTamko LA serikali ni agizo
Habarini wadau, natumai mu wazima wa afya na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila kukicha.
Leo nimeona magazeti mengi yakiandika kuhusu shule binafsi kutoruhusiwa kurudisha wanafunzi nyumbani kwa kigezo cha ada.
Mimi naomba kuuliza, hivi hizi shule binafsi zinapokea ruzuku kutoka serikalini na kama hazipokei, inakuwaje serikali iwalazimishe kuendelea na watu wasio lipa ada, hao walimu watalipwa na mshahara upi, je kama ni boarding, chakula kinatoka wapi, serikalini ama?
Embu tujadiliane kwa hili.
ri
 
Back
Top Bottom