Mambo mazuri kama haya ni kuyaunga mkono kwa hali na mali. Kwa bahati mbaya kuna ambao hawataki watu wote wafaidi kwa kuwa mapesa haya yangekuwa yanaingia mifukoni mwao kwa namna moja ama nyingine. sasa ni kwa faida ya wote.Hapa Kazi Tu, CDM wakiona hivi wanaumia sana mioyo yao, wanataka hata kuloga ndege hz, ila ndege hazilogeki..!!
Vyuma vinapashwa moto hapa kabla ya kutua nyumbani na kuja kuwahudumia watanzania.
Hongera awamu ya 5.
Kwa kuwa n kodi yangu nimeitolea jasho nitasubiri.Najivunia hela yangu kuwezesha hiliKuwa na subira mkuu, mambo ndio kwanza yanaanza.
Vyuma vinapashwa moto hapa kabla ya kutua nyumbani na kuja kuwahudumia watanzania.
Hongera awamu ya 5.
Hiyo n propaganda hakuna kitu kam hichoWhere is our 1.5T?
Kwani ccm hiyo ni ndege yao au ndio akili yako imefikia ukomoHapa Kazi Tu, CDM wakiona hivi wanaumia sana mioyo yao, wanataka hata kuloga ndege hz, ila ndege hazilogeki..!!
Kwahiyo CAG anafanya kazi kipropaganda kama Mwijage?Hiyo n propaganda hakuna kitu kam hicho
Video nyingine hii hapa
Pole sana.Ndege hii jumamosi ijayo itaanza safari ya kuja kwenye nyumba yake ya kudumu. Ile ya pili ambayo iko kiwandani kama inavyoonekana katika picha hii, itaanza mazoezi ya kuruka mwishoni mwa wiki hii. Sijui itabatizwa jina gani... Dar es salaam "Hapakazi tu" au Mwanza "Hapakazi tu" .. Tusubiri kushuhudia ndani ya wiki hii, Huenda zikaingia zote kwa mpigo.
Pole kwa nini mkuu?..Pole sana.
Kwa maumivu yanayokupata.Pole kwa nini mkuu?..