Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Vitabu vya Agano Jipya viliandikwa na watu waliokuwa na ufahamu mzuri wa Kigiriki cha Koine, kwa hivyo kuna uwezekano mkubwa kwamba walizungumza Kigiriki katika maisha yao ya kila siku kama lugha...
4 Reactions
59 Replies
1K Views
Ni takribani mwezi na nusu sasa kumetokea changamoto ya upatikanaji wa maji katika Manispaa ya Musoma. Mwanzoni tuliambiwa tatizo lilisababishwa na upungufu wa umeme kwenye pampu za kusukuma...
0 Reactions
0 Replies
28 Views
UMOJA wa wafanyabiashara wa filamu maarufu kama Library za Video mkoani Iringa umeazimia kusitisha kwa muda kufanya kazi na kampuni ya Umoja Movies, ili kutoa nafasi kwa viongozi na wawakilishi wa...
1 Reactions
4 Replies
47 Views
Kwa Nini watu wanaipenda ccm kuliko MASRAHI ya nchi tatizo lipo wapi Ni pesa au Nini kilichojificha .. Msukuma unasema kupigana short Kwa hyo kudai KATIBA ni kupigana short ,mauji ya October...
0 Reactions
1 Replies
28 Views
Namtafuta Lucas Mwanshambwa, Tlaatlaah na machawa wengine ili nijue msimamo wao juu ya hiki kilichotokea. Naona wametulia ghafla, huenda aliyekuwa anawalipa zike buku saba Saba ndiye huyu...
33 Reactions
101 Replies
1K Views
  • Redirect
"Hatutaki kumuona Rais Samia akiwa na Stress nenda ukamsaidie, Ndejembi Usifanye yale yaliyotufikisha hapa taifa linakutegemea na kila mtu anakutegemea nenda kamsaidie mama samia usiende kufanya...
2 Reactions
Replies
Views
Binafsi nimekuwa mtu ambaye niko so addicted na hizi vitu, huwa naondoka najipa break ila boredom inanirudiasha. Sasa hii constant stimulation na addiction inafanya ujihisi accomplished kwa...
3 Reactions
14 Replies
71 Views
Spika wa Bunge Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mb) leo tarehe 28 Agosti 2026 amepokea jina la Makamu wa Rais Mteule lililopendekezwa na Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi. Jina hilo limewasilishwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
20 Views
https://youtu.be/H2zh2PO4M00?si=hpix_Gk8rn7STHGf
2 Reactions
11 Replies
82 Views
Shetani ametumika kama fursa ya kuingizia watu kipato na kutajirisha watu na mataasisi ya Dini (ukubali ukatae) Nitatoa mfano Kanisa langu la Roman Catholic miaka Ile ya zamani lilikuwa linauza...
2 Reactions
5 Replies
151 Views
DODOMA; Bunge la Tanzania leo Agosti 28, 2026 linatarajia kuthibitisha uteuzi wa Makamu wa Rais wa Tanzania. Kwa mujibu wa orodha ya shughuli za bunge iliyotolewa, inaonesha kuwa tukio hilo...
0 Reactions
3 Replies
78 Views
Safari ya maisha ni kubwa kuliko malengo na ndoto zetu, unaweza kufanikisha mengi tu ambayo hayakuwa malengo yako wala ndoto yako... Endelea na safari hatakama unaona hufikii malengo kwa sababu...
2 Reactions
0 Replies
15 Views
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Regina Qwaray, amesema Serikali inatoa uhamisho wa watumishi pale inapokuwa imejiridhisha kuwa bajeti ya...
0 Reactions
1 Replies
64 Views
Ninaishi Iselemagazi, Wilaya ya Shinyanga Vijijini, na ningependa kuwasilisha malalamiko kuhusu huduma zinazotolewa katika Kituo cha Afya Nindo. Katika kituo hicho, wanawake wajawazito wanaoanza...
2 Reactions
5 Replies
447 Views
Vuta picha mtu umepanga chumba,unalipa umeme,maji una mke na watoto tena wanasoma shule ya msingi au sec unawapa buku buku ya nauli kila siku ya shule na kazi yenyewe ni bodaboda ya bosi,saidia...
9 Reactions
21 Replies
187 Views
Kama huna chakula usilete njaa zaidi duniani
7 Reactions
26 Replies
146 Views
Kuanzia tu kwenye kusumbua watu na michango ya laki moja hadi kuanza kuishi kama mume na mke baada ya kuzoeana sasa kila mtu anaanza kuonesha rangi za kweli kuwa alikukubalia maana kwenu mna pesa...
1 Reactions
0 Replies
31 Views
Leo August 28 unafanyika mjadala wa Jukwaa la Demokrasia ambapo wadau mbalimbali watashiriki mjadala huo akiwe Anna Tibaijuka, Jaji Msatafu, Warioba, Jenerali Ulimwengu, Shekhe Ponda, Mwabukusi...
0 Reactions
2 Replies
63 Views
  • Redirect
Spika wa Bunge, Mussa Zungu leo amepokea rasmi jina la Makamu wa Rais Mteule, Deogratius John Ndejembi lililopendekezwa na Chama cha Mapinduzi (CCM). Jina hilo limewasilishwa kwa Spika na Katibu...
0 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…