Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Poromoro la kisiasa la ndugu nchimbi kutoka umakamu hadi kuwa raia wa kawaida asiye na chama kuna mambo mengi ya kujifunza kwa viongozi waliobaki: 1. Cheo ni dhamana au ni sawa na koti la kuazima...
3 Reactions
18 Replies
241 Views
Inadaiwa kuwa tarehe 22 Julai 2026, jijini Dubai, Spika, wabunge, Waziri wa Uchumi Mbalawa pamoja na mtoto wa Rais Samia Abdul, wakifuatana na wabunge wengine takribani 25, walihudhuria shughuli...
36 Reactions
95 Replies
2K Views
Wana silika za takafuri? Silika za utafiti? Silika za kushangaa?
8 Reactions
146 Replies
3K Views
"Ninaitwa Eza Ashindikene. Kwa sasa ninaishi Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Mkuranga. Mwaka 2025, wakati wa uchaguzi Mkuu Tanzania, nilipata nafasi ya kuandika nyimbo kama msanii kwa ajili ya kuunga...
0 Reactions
2 Replies
51 Views
Sauti hazitasikika mapema! Walio nje ya maji watasikia Mlio baada ya samaki woote kuusikia Britanicca
17 Reactions
58 Replies
2K Views
Miaka 7 iliyopita nipitia katika changamoto kubwa ya mahusiano yangu na Mungu. Katika kipindi hicho chote Mungu alikuwa mwaminifu katika maisha yangu , mambo mengi ambayo hata sikuyaomba Mungu...
2 Reactions
6 Replies
68 Views
Habari wana JF, Mi ni ke 24 yrs nina degree na nipo DSM. Naombeni mnisaidie mawazo na ushauri je, naweza kufanya mishe gani ya halali hapa DSM ambayo inaweza kuniingizia 20k daily? Uwinga saivi...
2 Reactions
8 Replies
85 Views
What do you,thought?..labda maisha yatakuwa sawa na bora kwa kila mwafrika...
0 Reactions
0 Replies
4 Views
Jaji Mstaafu Sinde Warioba amesema kwamba anamfahamu vyema aliyekuwa Makamu wa Rais, Balozi Emmanuel Nchimbi, akisema kuwa sio chawa. Ameeleza kuwa Nchimbi amekuwa akimtembelea, ambapo hupata...
5 Reactions
8 Replies
163 Views
*KATIBA inaweka sharti kwamba makamu wa Rais awe na sifa za kikatiba ikiwemo swala la uanachama wa chama Cha siasa *Mh nchibi aliandika kwamba kujiuzuru kwake kuanze tarehe 4 September na Rais...
1 Reactions
1 Replies
74 Views
You’re about to overcome something you’ve been dealing with. Your mind and heart will soon be at peace again. You’re going to start feeling lighter. Things are about to get clear. Breathe through...
2 Reactions
1 Replies
27 Views
Boda wana hela sana kwa siku wanaingiza pesa nyingi sana ushahidi upo kwenye mahojiano na vyombo vya habari wamesikika waking'aka kujenga majumba, kusomesha watoto shule Bora kabisa na kuwashangaa...
2 Reactions
7 Replies
133 Views
Ndugu Wananchi wenzangu wanaoumia, Nimesimama mbele yenu kusema ukweli mchungu unaofichwa kwa nguvu nyuma ya propaganda za kisiasa. Taifa letu haliongozwi tena kwa misingi ya sheria wala Katiba...
23 Reactions
35 Replies
461 Views
Haka kazee ketu , kanaonekana kapole , kastaarabu , Tena kazuri kenyewe kamenona na hakana shida na mtu. Ila sasa ngoja kafungue mdomo wake kaanze kumwaga sera zake ,ndipo utajua ubaya wa njaa...
11 Reactions
13 Replies
327 Views
"Ukikimbia kuingia chumbani, wanakichoma moto," anasema Fatima, akielezea shambulio la hivi karibuni katika kijiji chake Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria. "Ukitoka nje na kuanza kukimbia...
0 Reactions
7 Replies
108 Views
Nimeona video clip ambayo muheshimiwa waziri Kabudi anazungumza nia ya wizara yake kusimamia mchakato wa kuufanya mziki wa SINGELI kuwa mziki rasmi wa kuitambulisha Tanzania jambo ambalo sio...
2 Reactions
29 Replies
1K Views
Link-Mgunduzi wa kipimo cha HIV(PCR), Prof.Kary Mullis hakubaliani kwamba HIV anasababisha AIDS: na Anasema hata Kipimo chake hakiwezi kumwona HIV . Njoo kwa madaktari wa kibongo sasa 🤣🤣🤣...
0 Reactions
43 Replies
455 Views
Kuna haja ya kutathmini upya ubora wa elimu inayotolewa na vyuo vyetu vingi vya kati na vya juu. Tumekuwa na utaratibu wa kuamini kuwa kijana anapomaliza chuo anakuwa mtaalamu aliyekamilika...
6 Reactions
7 Replies
83 Views
Ameandika Juma Kiaramba na hapa namnukuu "Namshukuru Waziri wa Uchukuzi Mh. Prof. Makame Mbarawa (Mb) kwa imani kubwa kwangu kuniteua kuwa mjumbe wa baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za...
1 Reactions
0 Replies
26 Views
Maisha ni technique, hakuna roho yoyote inayoendesha maisha yenu ya kuwasaidia katika tabu au kuwaadhibu wanaowafanyia vita Maisha ya mshindi ndugu zangu, aliejaa juu ndio anatunga sheria, hakuna...
0 Reactions
0 Replies
18 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…