Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Naomba kufikisha salaam kwa Rais Samia kuhusu Sakata la stendi ya magufuli! Wamiliki wa mabasi wametumia kila njia kuomba kuonana na mkuu wa mkoa ili yafanyike mazungumzo kabla ya zoezi lakini...
3 Reactions
15 Replies
198 Views
Ndugu zangu, Serikali ya CCM imejenga uhalali wake kwa watanzania kwa kuwakinga dhidi ya makali ya ubepari. Wakati tunaenda World Bank kuomba hela ya Bwawa la Nyerere, tulipewa masharti ya...
0 Reactions
4 Replies
53 Views
Toka nimeingia humu sikuwahi kufikiria nitapenda mtu, sikuwahi kufikiria Nitakuwa drawn kwa ID ya mtu maana nilikuwa najua maandishi haya reflect physical beauty... Kumbe I was wrong, sikujua how...
18 Reactions
253 Replies
3K Views
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Naomba kujua ni nini maana ya kesi ya kujibu kama ilivyotokea leo kwa mghwai? LONDON BOY
2 Reactions
10 Replies
167 Views
Julius Nyerere Hydropower Project ni miongoni mwa miradi mikubwa zaidi ya miundombinu ya nishati nchini ikiwa na uwezo wa MW 2,115. Ukubwa wake unaonyesha dhamira ya Tanzania kuongeza uwezo wake...
0 Reactions
4 Replies
151 Views
Raisi Trump amesema anataka kukutana na Ayatollah Mojtaba ili wayamalize😂.. Aise dunia inaenda kasi, kuanzia tumewavuruga, mpaka kuomba kukutana na Mjuba mwenyewe, tutaona mengi sana. Tulimcheka...
1 Reactions
15 Replies
242 Views
Nikiendelea na harakati ZANGU za usafi wa mazingira, nikafikiri hatuwezi kuweka mazingira safi pekee ilihali nguo zetu haziko safi. Sasa nimekuja na sabuni za maji na Jiki ya nguo nyeupe...
3 Reactions
6 Replies
43 Views
Sema huenda ni kweli an empty mind is a devil workshop 🤣🤣🤣😇.. Sasa juzi kati nikawa napitia pitia ki bible kidogo kile cha agano jipya ,nikawa nakisoma kisa cha yohana mbatizaji (math14:1-12 na...
2 Reactions
4 Replies
72 Views
Kwanza ni usumbufu, mtu kama unakaa zako geza kigamboni, mwanzo ilikua unatoka na gari geza mpaka mkoani kwako, kwasasa itabidi uanze kutoka geza uitafute magufuli. Tunarudi enzi za miaka ya...
24 Reactions
129 Replies
1K Views
Wakuu HABARI! Hii tabia ya police au mahakama kuwaachia hawa wahalifu ambao hadi kweny jamii wanafahamika ni mbaya sana, kisa tu ushaidi au mashaidi hawajitokezi wakati wa kesi,unakuta kibaka...
12 Reactions
48 Replies
1K Views
Kuliko kufikiri mambo ya lissu na mdomo wake ambao ndiyo umemponza ni bora twende na wazo zuri la kibiashara tunajua tuna 🍅 paste!,lakini pia tunaweza kupata 🍅 powder tukaokoa nyanya nyingi aww...
4 Reactions
16 Replies
158 Views
Uamzi wa Chalamila wa juhamishia mabasi yote Stand ya Magufuli ni wa Ovyo mno Kwa geografia na population ya Dar stand ya Magufuli ni ndogo mno na utazidiwa vibaya mno 1. Mtu atoke Vikundu...
8 Reactions
34 Replies
407 Views
Wazee wa viwanja, kuna chimbo jipya limefunguka Mbezi Kwa Msuguri linaitwa The Embassy, na kwa kweli hapa nimeona ni sehemu ya kwenda ku-relax bila makelele ya mjini. Hapa pamekaa kiustaarabu...
13 Reactions
114 Replies
1K Views
Mahakama Kuu ya Tanzania, kupitia barua iliyotolewa na Msajili wake C.M. Tengwa tarehe 12 Agosti 2026, imewaelekeza mawakili nchini kuepuka kuzungumza na vyombo vya habari katika maeneo ya...
1 Reactions
5 Replies
73 Views
Naona kama shughuli sasa imekuwa rasmi. Maduka ya wamachinga yameanza sehemu pembezoni mwa interchange ya Kijazi na Morogoro road. Je watendaji hili wanaliona au wanasubiria mpaka kipele kiwe...
3 Reactions
6 Replies
63 Views
Wa kwanza ni wazazi wako, Yes wazazi wako,wazazi wetu kwa namna moja au nyingine kwenye makuzi yetu kuna mambo ambayo huenda sio kwa ubaya au bila wao wenyewe kujua,tunajikuta wametukwaza sana na...
4 Reactions
8 Replies
192 Views
Dunia ni ngumu sana na ugumu unakuja ni kwa vile tu mwanadamu ameumbwa na tamaa na kamwe tamaa haiepukiki Ukitaka kuyafurahia maisha fanya kila jambo kwa kiasi kidogo Danganya lakini...
3 Reactions
13 Replies
176 Views
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo, amethibitisha kifo cha mwanafunzi Peter Maira, aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha sita katika shule ya sekondari Makongoro, iliyopo katika Halmashauri...
0 Reactions
1 Replies
78 Views
Kiwango ambacho watu hufa ghafla kinazidi kutisha. Wengi wetu tunajua kuwa tunapitia kipindi cha kufadhaika, kuchanganyikiwa, hofu, mfadhaiko, msongo wa Mawazo, nk. Sababu hizi zote huongeza...
12 Reactions
10 Replies
178 Views
YA NABII TITO, MAHAKAMA YA RUFAA, KESI YA DIBAGULA, NA UHURU WA KUABUDU. Waraka wa BASHIR YAKUB. +255784482959. Mchana wa tarehe 16, March, 2000 Chamwino Mkoani Dodoma jeshi la polisi lilimtia...
12 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom