Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

TAG wameonesha ukomavu wa kiroho kwa kuamua kuachilia na kusamehe mali zake ambazo mahakama ilikuwa imetoa uamuzi zirejeshwe TAG. Ifahamike kuwa EAGT pia ina mgogoro na makanisa mengi tu...
2 Reactions
8 Replies
94 Views
1. "Nimeamua kujiuzuru Kwa sababu nilikuwa mkaidi dhidi ya bosi wangu, ikapelekea kunipiga pini kila upande (kisaikolojia), hatimaye nikashindwa kupumua" 2. "Nimejiuzulu ila mimi na bosi wangu ni...
0 Reactions
3 Replies
157 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limefanikiwa kumtia mbaroni mtu mmoja anayedaiwa kuchoma moto jengo la mahakama ya mwanzo mjini Moshi . Kwa Mujibu wa Taarifa ya jeshi la polisi mkoani...
0 Reactions
4 Replies
76 Views
Kuna changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji katika Manispaa ya Musoma Mjini. Maji yamekuwa yakipatikana zaidi nyakati za usiku na kwa kusuasua. Wakati mwingine tunakaa hadi wiki nzima bila kupata...
0 Reactions
0 Replies
22 Views
Unazima moto kuzuia moto usiharibu nyumba inayo waka na kuokoa mali zilizomo ndani. Tatizo walisahau nyumba ya udongo ukimwagia maji mengi inaporomoka na kuta zake zinaharibika, zinaporomoka...
1 Reactions
1 Replies
43 Views
Toka nitembelee na kuishi mikoa ya mwambao wa bahari hasa pwani, lindi na Dar.. Nimekutana na tabia mbaya sana kwa kweli, na hili hata sio la kuwalaumu watoto. Ndugu zangu sijui kwanini hata...
0 Reactions
2 Replies
51 Views
UZI: Sextortion na Ngono : Mamlaka Zimezidiwa Kasi na Hili Bomu? Wana-JF, BIASHARA YA NGONO: Gesti Zageuka Studio za WhatsApp na 'Sextortion', Nani Atanusuru Kizazi Hiki? Mbali na habari za...
4 Reactions
18 Replies
356 Views
Katika haya Maisha kuna up and down nyingi saana. Unajikuta unapata Hela lakini mwisho wa siku inapotea unaanza upya Tena na kujipa Imani utatoboa Tena. Huwa simcheki bro anaekoto makopo ili...
7 Reactions
9 Replies
123 Views
Kamisaa wa Mechi kajifanya kuwa very smart mbele ya Refarii ila kwa ile Derby yao ya mwanzo ya Oktoba 29 ambapo Refarii aliamua kuiamua mwenyewe Kimaamuzi huku Kamisaa akiwa ni Ndumilakuwili...
2 Reactions
7 Replies
156 Views
Japo upendo ni bora kuliko kila kitu ila pesa inaweza kuvunja kila kitu. Nakumbuka hata mkoani nakotoka pesa inaweza kukufanya ukawa kama mungu mtu, kila mtu unaweza kumtuma na kumkoromea. Ukiwa...
0 Reactions
0 Replies
28 Views
Nashindwa kutofautisha mfano mimi nataka pc au simu mtumba na sio refurb nitajuaje?
2 Reactions
3 Replies
52 Views
  • Redirect
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi, amemwandikia Rais Samia Suluhu Hassan, barua ya kujiuzulu wadhifa huo, miezi michache baada ya kutoa kauli mbalimbali zenye utata. Kabla ya...
0 Reactions
Replies
Views
Kusema NCHIMBI ngoma kujiuzulu? Walipwe fidia wafunguliwe ama inakaa vipi hivii wakuuu
1 Reactions
1 Replies
70 Views
Je endapo Yuda asingelimsaliti Yesu nini nini kingetokea katika mpango wa wakovu wa mwanadamu?
2 Reactions
18 Replies
106 Views
Ukiona umeajili mfanyakazi anaamka saa kumi na mbili anaoga maji baridi , linanyoosha nguo, linabrashi viatu, anapiga mswaki, lakini anasaau kujisaidia haja kubwa anakuja kujisaidia ofisini jua...
5 Reactions
32 Replies
439 Views
Tuchukulie mbuzi, huyu ana matumbo 4, haya yanamuwezesha kula na kuhifadhi chakula, ndio maana unaweza kumkuta mbuzi sehemu haina majani lakini anatafuna. Maana yake alikula majani mapema lakini...
23 Reactions
104 Replies
994 Views
Maisha ni juhudi yako na upambanaji wako hamnaga bahati katika maisha usijidanganye.kula kazi wasela wangu maisha inakutegemea.
3 Reactions
3 Replies
42 Views
Mlokua mnasubiri bei za umeme zishuke poleni... Mnaosubiri eti hiyo siku ya uzinduzi atatangaza bei ya umeme kushuka kuanzia September mosi poleni Hii habari nina uhakika nayo asilimia 100%...
8 Reactions
25 Replies
795 Views
1. ROMBO a. Wachapa kazi - bulldozer b. Wana upendo c. Wabunifu sana kimaendeleo d. Wana heshimu ndoa e. Ulevi - hadi gongo na konyagi f. Ushamba g. Hawajui kupika h. Wizi - Mnaposikia wachaga...
30 Reactions
127 Replies
7K Views
Usijisahau ukasema una marafiki wengi kazini , kuwa makini sana. #Malenga wa Kiha #Mwanasayansi Kalivubha Karibu
2 Reactions
1 Replies
53 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…