balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,764
- 15,541
Kwanini wanawake wa siku wanaonekana kumpenda,kuendwkeza,kujisifia na kuabudu mambo ya Ngono?
Akikujibu nitag😎Oops
Vp Wapi Tena Huko
Wanaabudu siku gani hao ili tuungane kwenye hiyo Ibada?Kwanini wanawake wa siku wanaonekana kumpenda,kuendwkeza,kujisifia na kuabudu mambo ya Ngono?
Tanzania Inahitaji Ukombozi Wa Haraka SanaAkikujibu nitag😎
AiseeJana naonyeshwa text, eti "babe asante kwa kit*mb*"! Nilicheka sana nikimuangalia yule binti sayuni😆
Acha wapende maana wanakula wanashiba na wako huru, zamani hakukuwa na huu uhuru wa kujieleza!
Pote,mitaani wanaongelea mambo ya Ngono tu,wanatembea uchiuchi,wanatikisa matako wanapiga picha wanajipost mitandaoni.Yule bibi msanii kwa mfano.Hata story wanazopost zinahusu mambo ya Ngono asilimia mkubwa.Zamani ilikuwa aibu kuonekana nguo imemuingia mwanamke matakoni,siku hizi wanaona ufahari hadi wanshona nguo za kuingia matakoni.Oops
Vp Wapi Tena Huko
nipe connection ya mwanamke anae abudu ngono mkuuKwanini wanawake wa siku wanaonekana kumpenda,kuendwkeza,kujisifia na kuabudu mambo ya Ngono?
Hawana siku Wala Muda ,ni Muda wowote,mahali popote wanaowaza hayohayo.Wanaabudu siku gani hao ili tuungane kwenye hiyo Ibada?
Mbona wamezagaa Kila mahali kama inataka weka namba yako nikupe namba.nipe connection ya mwanamke anae abudu ngono mkuu
weka namba zao mkuu, tusaidiane sie ni dugu.mojaM
Mbona wamezagaa Kila mahali kama inataka weka namba yako nikupe namba.
Ni taboo eenh mkuu?Aisee
0671712974 mcheki huyoweka namba zao mkuu, tusaidiane sie ni dugu.moja
Umesema wewe.Ni taboo eenh mkuu?