Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Ndugu zangu wana JF, Hivi karibuni nimesikia kuwa dawa za ARV (sijui kirefu chake nini) lakini ni zile zinazotumiwa na watu wanaoishi na VVU kuwa sasa hivi wafugaji wa kitimoto wanazitumia...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Prof. Mahmood Mamdani has been appointed the new director of the Makerere Institute of Social Research (MISR). Previously, Prof. Mamdani worked as Director of African Studies, Institute of African...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wizara ya Kazi, Ajira na Mandeleo imepanga kufuatilia utekelezaji wa sheria ya haki ya mwanamke anapojifungua akiwa kazini. Kaimu Kamishna wa wizara hiyo, Joseph Lugakingira, amesema kuna taarifa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MWONGOZO wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi unamtaka kila mwalimu kufundisha, kwa wiki vipindi, visivyozidi 28 na visivyopungua 24. Vipindi kwenye ratiba hujaa vizuri bila mgongano na...
0 Reactions
43 Replies
7K Views
Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Jangwani (jina tunalihifadhi), mkazi wa Mbagala Kuu jijini Dar es Salaam, amefikishwa mahakamani kujibu shtaka la kughushi cheti cha elimu. Anadaiwa kukiwasilisha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
BUNDI wa migogoro sasa ametua katika paa la CCM, na kusababisha watendaji wakuu kwenye Jumuiya ya Wazazi na Wanawake kutimuliwa, huku makada saba wa chama hicho wilayani Kyela, Mbeya wakitupwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
By ABDULWAKIL SAIBOKO, 24th February 2010 @ 18:04 Daily News MYSTERY still surrounds identity of a Tanzanian ship saved from pirates by the US Navy in the Gulf of Aden earlier this week. The...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sheikh Yahya (aliyeketi katikati) akiwakabidhi Francis (kulia) na Mbangu kitita cha 100,000/= muda mfupi baada ya kuwasili nyumbani kwake. Akizungumzia utabiri wake dhidi ya hukumu iliyotolewa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari zenu ndugu wana JF,leo hapa jamvini kuna kitu nataka kuwajuza,kwa wale watumiao barabara ya Ali Hassan Mwinyi na ile ya umoja wa mataifa pale karibu na trafic lights za Salender kuna omba...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali , Saidi Mwema, aliwataka makamanda wa polisi wasigombane na waandishi wa habari. Mwema amewataka makakanda hao wahakikishe wanashirikiana na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Did you know that tanzania is the best place to live in the world and the only place in Africa. for details: http://www.escapeartist.com/efam/72/International_Living.htm. copy and paste the link...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
We are the victims of our own selves! We have never been exposed to situations which seriously need a change of mindset throughout our growing up period! Sure it won't be easy to change when all...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TUME ya Vyuo Vikuu nchini (TCU), imemsafisha Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Dk. David Mathayo kwa kutambua vyeti vya elimu yake. Hatua ya TCU imekuja siku chache baada ya Spika wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Lift/ elevator: majengio yetu mengi lift zake zinagoma goma, pia umeme ukikatika ni nooooma ile mbaya. 2. Ngazi za dharura majengo mengi hayanga ngazi za dharura, likitokea janga lolote...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
We mbaba,mkaka unafahamu kweli umuhimu wa mwanamke/mpenzi wako? mwanamke ni kiumbe muhimu sana katika maisha ya kila siku.Uongo??????
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari wana JF nimepata taarifa muda si mrefu kuwa askari mmoja Inspekta Lucy wa Makao makuu kitengo cha Interpol amegongwa na Gari linalosemekana la mhasibu wa polisi alipokuwa akisubiria gari...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
ndege moja ya abiria imepata ajali katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere, ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitali ya Muhimbili kwa matibabu. Mwenye Habari zaidi atujuze
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Jumapili ya Februari 20 sitaishi nikaisahau. Nilifika Mikumi National Park Jumamosi alasiri kwa mapumziko ya usiku mmoja kabla ya kuendelea na safari yangu ya Dar nikitokea Iringa. Usiku wa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
- Humans are the only animals capable of drawing a straight line. - On average, an individual grows over 450 miles of hair in a lifetime. - When a person smiles, 17 muscles are engaged. - Human...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mkazi wa Igunga, Abel Mkinga, amefichua uozo wa rushwa kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ukimhusu Ofisa wa Halmashauri ya wilaya hiyo... Ofisa huyo (hakumtaja jina), amedaiwa kuomba rushwa ya Sh...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom