Inapotokea dharura au maafa, mtu wa kwanza kuokoa maisha yake ni...

Mlenge

R I P
Oct 31, 2006
2,125
2,291
1. Inapotokea dharura au maafa, mtu wa kwanza kuokoa maisha yake ni...
Wewe mwenyewe. Haileti maana kuongeza idadi ya wahanga kwa kuacha kuchukua tahadhari muhimu za lazima kulinda maisha yako mwenyewe.

2. Mtu wa pili kuokoa maisha yake ni ....
Muokoaji mwenzio. Huyo anapokuwa kwenye hatari iliyokithiri ni wajibu wako kumuokoa.

3. Mtu wa tatu kuokoa maisha yake ni...
Muhanga wa janga / maafa.

Katika kuzingatia Na. 1 na Na. 2, kasi ya uokoaji husitishwa kwa muda au hata moja kwa moja. Ni kawaida kwenye masuala ya uokoaji.
 
chizi wewe

unataka kusema nini??

kama ni kazi yako, wajibu wako kuokoa hautaokoa kwa sababu mtu anapaswa kujiokoa?

hata mama yako hakujizalisha, alitanua miguu ukapokelewa, lakini mbuzi anaweza kujizalisha na analea mtoto

ni humanity kuokoa wengine, ni nature na ndio maana ulipokelewa na manesi au wakunga duniani

rudia tena ku post upuuzi
 
chizi wewe

unataka kusema nini??

kama ni kazi yako, wajibu wako kuokoa hautaokoa kwa sababu mtu anapaswa kujiokoa?

...

ni humanity kuokoa wengine, ni nature na ndio maana ulipokelewa na manesi au wakunga duniani

rudia tena ku post upuuzi

Waberoya, maneno uliyoandika hayafananii na user-handle yako. Definitely hayaelekeani na muktadha wa Great Thinkers, mahali ambapo presumably great minds congregate. If that is you at your great thinking best, I am concerned with the standards of JF nowadays.

See the same post elsewhere, and reactions of civil nature.

Yule aliyesema zoezi la uokoaji/uopoaji linatarajia kukamilika ifikapo saa 12 jioni kwa nchi zilizoendelea angewajibishwa jana mapema. - JamiiForums
 
Waberoya, maneno uliyoandika hayafananii na user-handle yako. Definitely hayaelekeani na muktadha wa Great Thinkers, mahali ambapo presumably great minds congregate. If that is you at your great thinking best, I am concerned with the standards of JF nowadays.

See the same post elsewhere, and reactions of civil nature.

Yule aliyesema zoezi la uokoaji/uopoaji linatarajia kukamilika ifikapo saa 12 jioni kwa nchi zilizoendelea angewajibishwa jana mapema. - JamiiForums

ulikuja kumtetea mkuu wa mkoa

ushabadilika?

next time be concise
hauwezi ongea utumbo ukaachwa

nina mlaani mkuu wa mkoa wa mwanza kusitisha zoezi

nina laani post yako kujaribu kutetea upuuzi unaouamini


Mengine uliyoyaandika hayakusaidiii kutoonekana chizi

sifuti usemi wangu unless ufafanue ulikuwa una maanisha nini
 
ulikuja kumtetea mkuu wa mkoa

ushabadilika?

next time be concise
hauwezi ongea utumbo ukaachwa

nina mlaani mkuu wa mkoa wa mwanza kusitisha zoezi

nina laani post yako kujaribu kutetea upuuzi unaouamini


Mengine uliyoyaandika hayakusaidiii kutoonekana chizi

sifuti usemi wangu unless ufafanue ulikuwa una maanisha nini

Hapana. Sifafanui zaidi ya nilichokiandika kabla. Posti zangu za awali zinabaki kama ilivyo bila kuhaririwa.

Posti yako inaonyesha chuki dhidi ya wanawake (misogynistic) na ni udhalilishaji wa kijinsia. Unaanzaje kuwafananisha wanawake na mbuzi? Kuwaomba msamaha au kufuta usemi wako ni uamuzi wako, lakini it says a lot about you.

Note to the right-thinking persons:
First responders to emergencies have a moral duty of preserving their own human lives first: lives of fellow human responders; and then the lives of the victims of an emergency follow next. Being a rescuer does not mean being reckless; rescuers must strive to not add to the number of victims. This principle is known in Latin as Primum non nocere: first do no harm. Encyclopaedias say, "given an existing problem, it may be better not to do something, or even to do nothing, than to risk causing more harm than good."

It is unfair to guilt-trip rescuers when they exercise this first-principle. They applied this principle in day one of MV Nyerere rescue operations. They continue to apply it to the emergency.
 
Back
Top Bottom