kwa wale wadau waliowahi kuhudhuria madisko vumbi especially vijijini, mziki wa panasonic au sony uliounganishwa na kipaza sauti je! ni nyimbo gani nzuri mnazokumbuka ambazo zilikuwa zikipga...
Wakuu naombeni ufunuo kuhusu hili....huyu jamaa anayeitwa CHRISS ANGLE.Huwa simueli elewi kwani mambo yake nayofanya kwenye show zake sijui ni uchawi au ni-graphics.
Criss Angel ∞ Mindfreak
MARA nyingi nimekuwa nikijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu pale ninapowasikia watu ambao naamini hasa ni mashabiki wa muziki wa dansi wakilalamika juu ya kupotea kwa muziki huo, licha ya...
Hapo kwenye bold ni lyrics ya wimbo nimeosikia kwenye tovuti fulani, lakini wala jina la wimbo wala la mwimbaji halikutajwa...
Mama yangu,
Wewe ni nguzo maishani mwangu,
Taa imulikayo mbele yangu...
Jamani hii imenishangaza sana kuona mshiriki wetu Lotus kumpigia kura mshiriki mwenzie frm TZ Bhoke atolewe na kudai kuwa anataka kubaki peke yake ili nchi ibaki na mwakilishi mmoja huu ni...
Back in December, strange reports from the Milan dressing room emerged about new addition Kevin-Prince Boateng, with his neck tattoos and fiery temper, doing exceptional Michael Jackson routines...
Salaam wakuu!
Wadau/Wapenzi wa hawa ndugu zangu naomba namba za simu au naweza kuwaona wapi nikiwa DAR week hii?Nataka niwape mawazo yangu,
Natanguliza shukurani,:dance:
RE.
HABARI jamani nataka kupata vuze plus with serial keys jamani nataka kudownload free movies and games......
Jingine wanajf.. Naomba website za kuweza kupata gamez za magari kama most wanted and...
huu wimbo uligongwa enzi hizo za sherehe yangu kubwa ya pili (Kufunga ndoa) si mnakumbuka sherehe ya kwanza ni kuzaliwa? Nasikitika tu nimebakiza sherehe moja tu (kufa) hakika huu wimbo...
Sandy beaches, crystal clear water and a calm ambience; Seychelles is a perfect honeymoon destination for the future King and Queen of England. Will and Kate are heading to the most exotic island...
Tarehe 11 May 2011 ni miaka thelathini tangu Bob Marley afariki. Wengi wanakubaliana kwamba bila ya Bob Marley muziki wa reggae usingefika ulipofika leo hii. Nakumbuka siku ya kifo cha Bob kama...
Not everybody knows how to work
my body
Knows how to make me want it
Boy you stay up on it
You got that something that keeps me so off balance
Baby youre a challenge, lets explore your...
Nimekuwa nikisikiliza nyimbo za kiswahili kwenye Youtube kwa muda mrefu sasa, lakini kusema ukweli, ingawa nimepata nyimbo zingi zilizo nzuri sana, nyimbo zote ambazo nimezisikia mpaka sasa kwa...
Aaaahh, saa nyingine mada zikizidi kwa kweli zinaboa hasa pale wachangiaji wenyewe wanapokosa cha kuchangia. Sio vibaya kama tuthave fun kidogo hadi jumapili jioni.
Naam hapo juu naona...
Ya nini malumbano
http://www.youtube.com/watch?v=EhLMPL8PY6E&feature=player_embedded#at=155
Asha ngedere
http://www.youtube.com/watch?v=Uwb8Hx-3IbU&feature=related
Kwenye hii video nimegundua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.