Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Kumbe wee Babu uko juu sana hadi Koffi Olomide akaimba wimbo kukufagilia....
Sawa bana, sisi wengine ngoja tukale tu Mihogo pale Kambi ya Fisi ndani ya Arusha, mitaa ya kwetu...
Hebu angalia na jikumbushe wimbo wako .... Mzinga wa Rumba katika miondoko ya Tcha-Tcho.
Sawa bana, sisi wengine ngoja tukale tu Mihogo pale Kambi ya Fisi ndani ya Arusha, mitaa ya kwetu...
Hebu angalia na jikumbushe wimbo wako .... Mzinga wa Rumba katika miondoko ya Tcha-Tcho.
Last edited by a moderator: