Iteitei Lya Kitee
JF-Expert Member
- Jan 2, 2008
- 586
- 46
Mama Benchmark naona inakula kwake,Airtel wamejitoa kwenye udhamini wa show hii.Inasemekana wao walikua wanatoa udhamini kiasi kama 255million kwa ajili ya show hii.Benchmark wamekimbilia mahakamani.
mmh mafuta pia hakuna jamani,msiendeshe kwa fujo!!
mmh mafuta pia hakuna jamani,msiendeshe kwa fujo!!