Naona mzuka kwa watu unaongezeka
kuhusu hizi filam za bongo.....kwenye media na watu..
Sasa mimi najiuliza.kwa nini nashindwa kuzipenda hizi
filam za bongo????
Yaani nashindwa hata kutazama...
Hii ni movie ambayo niliikubali tangu enzi hizo mpaka leo huwa naiangalia sana.
Sehemu nazopenda sana ni pale captain alivyoingia line kwa maria na ugumu wake wote.nyingine pale maria...
Kwa dar..wapi nitapata caps kali za MMG,ymcmb n.k....nikitajiwa na bei pia itakua poa,anayejua naomba msaada!
eg..Last Kings Tyga Snapback
ymcmb snapback
MMG
Habari zenu wadau.Kwa muda wa takribani wiki 3 sasa nimekuwa siioni filaamu hii katika chaneli ya tbc saa kumi na mbili jioni kama ilivyokuwa zamani.Hivyo naomba yoyote anayyefahamu wakati filamu...
me ni mdau wa filamu za kibongo lakini na choshwa kusikia chuki na visa vya awa wawili katika tasnia ya filamu, kwani wamekuwa na ugomvi na malumbano yasiyo natija sijui ni wivu wa mafanikio au...
Hallo wanaJF,
Hakuna atakayepinga kuwa kwa miaka ya karibuni bendi ya Twanga Pepeta chini ya ASET imekuwa ikifanya vyema kiasi cha kuzifunika bendi zilizojaza wakongo kama FM Academia na...
Wakuu habari za hapa jamvini, natafuta Movies za hollywood 2011 kwa mwenye nazo naomba anijulishe nitamlipa kwa kadri tutakavyoelewana. Namba yangu za simu ni 0755 737 737
1. 5 Days of...
Saturday, March 10, 2012*NAPE NNAUYE ASAKA NAMBA JUKWAA LA TWANGA, AMUACHA HOI ASHA BARAKA KWA KUIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYOTE
Hapa Nape akipiga gitaa la Solo. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM...
Filam Ya Vikaragosi (Cartoon) Ya Kiswahili Kwa jina la Manzese
Hii ni kazi ya Dr. Boniface Mhella, mjumbe wa Jumuiya ya Watanzania Roma, ambaye tayari amekamilisha filamu yake yenye mandhali...
Hello! JF
Kwa wale wakazi na wafanyabiashara wa MWANZA.
Naweza pata wapi Movie mpya za mbele. Siyo katika collection yaani 24 in 1. But kama Single kwa Bei ya Jumla ama Rejareja Maana...
Natizama TBC 1 leo tarehe 10.03.2012 jumamosi asuhbuhi ambapo kuna mwanamziki chipukizi wa maadhi ya Zainabu anahojiwa akijitamnulisha kwa mara ya kwanza. Anamziki aliofanya ft na Kingwendu...
myn are shreck, finding nemo, a cloud with a chance of meat balls, and most of all my favourite old tym THE LION KING i never get tired of watching it.....now drop a movie and lets share:eyebrows:
Kwa wale wapenzi wa Moviez za nje wanaopenda KuDOWNLOAD kupitia TORRENT SITE Mbalimbali. Vifuatavyo ni vipufupisho vya majina yanayoandikwa mwisho ya majina ya movies kuonyesha ubora wa...
hellow peps wote wapenda movies sanasana series this is a place where we can share the series we have watched and still watching am a big fun of this thing to start with am on to how i met your...
Nawaonea huruma sana hawa waandaaji wa Kilimusic Awards. Nawaonea huruma kwa kuwa ni wazi wanaishi ulimwengu mwingine. Music industry ya nchi hii imetawaliwa na utapeli rushwa na umafia kiasi cha...
Mambo vp member wote wa jf,
kama kawaida kwa sisi wengne wapenzi wa tamthilia za kikorea,itv naona hapa leo wameanza tamthilia mpya,ingawa sijajua jina lake,mwenye kuijua zaidi au mwenye link ya...