Which Advert/ Program makes you SICK?!!

Karucee

JF-Expert Member
Mar 11, 2012
18,143
34,180
Mie naanza. Kuna tangazo la TPA kuna libaba lina miziwa hiyoooooo. Halafu likicheka inatikisika. Wtf?
 
Matangazo ya Zantel mengi yananikuna, mfano hili kuna mdada anaimba "Mtandao huu niiimsimulie nani, maaneno hayaumbiki kinywani.............."
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom