Mnakaribishwa katika uzinduzi wa video album ya st augustino choir UDSM main campus itakayofanyika katika ukumbi wa nkrumah siku ya tr 6 yaan jumapili ijayo. Itakuwa ni full burudani kwaya...
Ni Blog mpya hapa Tanzania inayokupasha taarifa tofauti za filamu na wasanii wa filamu ulimwenguni...
Itembelee leo uone tofauti..
Bofya link hii kuingia huko
http://www.syagalove.blogspot.com
Kuna yeyote anayezifahamu nyimbo hizi, na mahali ninapoweza kuzipata?
KAMBARAGE - Sugu (Mr II)
UBINAFSISHAJI - Mr Ebbo
(Wimbo unaoisifia CCM) - Kwanza Unit
Km nimekosea majina ya nyimbo...
Just when DStv audiences thought that they had seen all the incredible twists and turns that mega-hit reality-TV franchise Big Brother Africa could possibly include, M-Nets sensational series has...
Source Clauds Fm
Rich one yule aliyeimba wimbo wa Hatuna kitu na Juma Nature alikuwa akimwibai msanui mwenzake wa Ubongo wa fleva kwa kudivert simu ya Alikiba kwake na watu wanapo omba shoo...
Wadau nilikuwa nikitokea kwenye harakati zangu binafsi nikirejea kwangu,muda niliokuwa napita Mbagala maeneo ya Dar Live ni muda ambao Helicopter iliyokuwa imemchukua Super Star wenu Diamond...
Kilichonifurahisha katika hii video ya Husein Machozi, ni kwamba, jamaa baada ya kutoka jela kwa msamaha wa Rais akiwa kitaa mwenyewe kavaa suspender zake suruwale kifuani, kamuona mshkaji kavaa...
Wapendwa, nipo Dar Live angalau kupunguza machungu ya ufisadi. Hapa mahali pazuri ila mambo yanaanza late. Tuliokuja na watoto wanakuwa hawana cha kufurahia. Wanahitaji kufanya marekebisho angalau...
It's beautiful, your honesty
You cry when you need to
You say what you feel
You're never afraid to wear you heart
on your sleeve
You're always so open with me
It's in your voice, I can hear...
Wakuu, ni muda sasa nimekuwa nikihitaji sana & nikitaka kujua ni aina gani ya kamera ambazo zikitumika kwenye utengenezaji wa filamu picha zitatoka bomba na angalau kuwa na ule ubora wa kimataifa...
Kwa wale waliokuwa wanafuatilia bongo flave enzi inaanza kushika hatamu basi watakuwa wanamkumbuku huyu mwana dafada Pauline Zongo the first lady from upanga east cost.
Kwa muda sasa alikuwa...