hawa wabunge vipi?

mwakajila

Senior Member
Apr 2, 2012
188
29
jana kuna baadhi ya wabunge wanataka kikundi cha baikoko aka khanga moko kifungiwe eti kinapotosha maadili ya mtanzania...hawa jamaa vipi shida zote hizi tulizonazo watanzania wanafikiri tutajiliwaza wapi?khanga moko wanatuburudisha na kutuliwaza vizuri sana...Jamani msitunyang'anye hata hiki kidogo tulichanacho...

Nawasilisha.
 
wabunge wengi ni wanafiki wao ndo wanaongoza kwenda kuangalia haya mambo halafu wanajifanya kuyapinga!
 
Wanatumia masaburi kufikiria wakati vichwa wanaoteshea nywele!
 
Back
Top Bottom