Korogwe Vijijini
Member
- Jul 28, 2012
- 13
- 3
Wanajamii wenzangu hivi kwanini mahakama inashindwa kutoa maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya kesi ya msanii Elizabeth Michael mana mtoto huyu ameendelea kukaa rumande siku hadi siku na pia anaathirika kisaikolojia.Wanajamii hii kesi inaweza ikadumu kwa muda mrefu sana mana kila akipelekwa mahakamani tunasikia kesi imehairishwa.Jamani jela jeraha mtoto huyu anapata jeraha la moyo