Imekuwa na kawaida ya mastaa wa bongo hasa wa Kitengo chakucheza sinema na wanaopiga muziki (Bongo Flava) kutambiana wao kwa wao kwa pesa. Na kweli tunaona hata matumizi yao au magari, nyumba...
Jaman ninakipaj cha kuimba toka utoto pia nimesomea kaz hiyo,sasa nimetoa single ya gospel mahadhi ya sebene lakin radion wanataka pesa ndipo wanitoe,sina mdhamin wala manager but naamin naweza...
wana jamvi leo nawaletea ushirikiano maalum wa manguli wa muziki enzi hizo ZAIRE ya MOBUTU SESE SEKO NKUKU NGBENDU WA ZA BANGA uitwao NGUNGI(mbu) amboa kiufupi wimbo huu ni kisa cha kweli ambacho...
Muziki wa Hip hop hauwezi kuwa mtamu pasipo kuwa na chorus nzuri. Mwenye wimbo anaweza kuamua kuimba mwenyewe chorus ama kutafuta msaniii mwingine atakayemuimbia chorus ya kuvutia. Mchango wa...
Hatimaye mmoja wa wachezaji wa soka wanaolipwa pesa nyingi zaidi kutoka Afrika, Kolo Toure wa Manchester City ameisaliti rasmi kambi ya makapela.
Defender huyo raia wa Ivory Coast amemuona...
50 Cent was involved in a car accident along the Long Island Expressway in New York City. His SUV was rear-ended by a Mack truck that lost control early Monday morning. Both 50 and the driver of...
kuna movie flan inahusu train(treni) ambayo inatembea mwendo mkali bila dereva so wanahangaika kuisimamisha, niliiona kitambo jina nimesahau anaejua anitajie jina la hyo movie......!
Wazee wadai kamtumia sms na email kumwambia yanga ni maskini na wanashindwa kuwalipa wachezaji na makocha wao. Kawekwa kitimito ajijetea hausiki katika hilo
Unakumbuka ma -dj wakali enzi hizo.... 1.dj jerry koto 2.dj young millionea 3.dj chriss fabi (the lover) 4.dj deo zullu 5.dj kali kali 6.dj mangapiii 7.dj ali koko endelea tupia hapa ma-dj wa...
Jana katika kipindi cha kusikiliza mapendekezo ya bajeti Waziri wa Fedha alisema kazi za wasanii zitapitia kwenye mikono ya TRA hii ni hatua kubwa sana ya kuwaingiza hawa wasanii wetu kwenye wigo...
Wadau naomba msaada wa jina la wimbo ambao ferooz ameshirikishwa wa zamani kidogo wa bongofleva
ambao una vipande hivi
"ningeweza ningeomba wazazi wangu warudishwe duniani...."...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.