wadau hiyo series imenibamba ile mbaya kwanzia season 1 mpaka 7..hivi kuna series nyingine yenye vituko kama hii...kama zipo zishusheni wadau nianze kuzitafuta.. hapo kwenye himym barney stinson...
Wadau naona kipindi kinarushwa live na kuna bendi inatumbuiza kinacho nichanganya bendi inaimba nyimbo za kiingereza wakati hao mabibi wenyewe hawajui hiyo lugha
Samahani waungwana, kuna wimbo fulani niliusikia ktk kituo fulani cha redio skumbuki ni redio gani, unaitwa uchumi umeyumba, sijui ameimba msanii gani lakini amemshirikisha Chege. Niliusikia...
kijana huyu anaitwa KATABAZI, kaimba songi lake ila ugumu uko katika distribution na kupata airtime.. hana meneja, so anaomba msaada wa wadau, either advice, au technical support.. kama unaweza...
Ndugu wanajamii nimekuwa nikijiuliza kwa nini wasanii wengi wamekuwa wakirekodi picha za utupu hasa wanapokuwa wanafanya ngono,nimekuwa nkijiuliza nashindwa,,,mfano tu hapa juz zimeonekana picha...
Hii movie inaonekana ni kali, nitaipata wapi? Niko kijijini.
Five Film Facts: 'The Expendables 2'PrevNext
Go to page 1Go to page 2Go to page 3Go to page 4Go to page 5Go to page 6Go to...
habari jaman jamvin himu mie nasty leo mepata memory card ya 2gb mpyaa need mziki mpaka nkomee
Nahitaji list za sweet regae nzuri, list ya nyimbo za adele apart from some one like u, st fire to...
Siku chache baada ya kumaliza kugonga kichupa cha wimbo wake mpya, nyota wa hip hop pande za Kenya, Jua Kalli amevuta ndinga mpya ya kisasa aina ya Chrysler Crossfire yenye thamani ya Shilingi...
Hello Everyone,
My name is Brian White love to watch movies, recently watched Man in Black 3 movie at my home with my friends. This was so interesting movie, i enjoyed it a lot.Here you can...
HABARI ZENU WANA JF,
Mimi naomba kwa wale walioko Jangwani kwenye hili tamasha la love Tanzania festival watupe angalau updates hapa nitashukuru sana!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.