Huyu jamaa SOSOLISO wa JF nilikuwa nafikiri kijana mdogo kumbe wa zamani?
Yaani hawa TRIO MADJESI wameshakuwa naye kwenye Stage miaka ya 70 mwanzoni?
Pichani, SOSOLISO wamebebana.
Video...
Tanzania Weekly Movie Schedule
Hansel & Gretel: Witch Hunters
Monsters, Inc 3D
A Good Day to Die Hard
Les Misérables
The Attacks of 26/11
I, Me aur Main
Zila Ghaziabad
Dabangg 2
KUPATA...
Habari ya mapumziko ya mwisho wa wiki!
Wakubwa kama kuna mtu mwenye interest kama mimi na Zilipendwa hasa za Afrika Kusini naomba msaada anisaidie wapi naweza kupata Album nzima ya Mwanamuziki wa...
Ukweli ni kwamba tasnia ya filamu ni sekta ambayo inazidi kukua na inaongoza kuwa chanzo cha ajira kwa vijana hapa nchini. Vijana wengi ambao awali walikuwa wahalifu sasa wameingia kwenye filamu...
Ndugu wana JF. Nikiwa kwenye hatua za mwisho kwenda Tanzania kwa wiki mbili na nusu, ningeomba kwa yeyote yule anisaidie kunijuza kumbi za bendi na miziki ya dansi na zilipendwa kwa jiji la Dar es...
::
Nimekuwa shabiki wa nyimbo za Zilipendwa na napenda sana kujua machache yahusuyo baadhi ya wanamuziki
::
Kuna miziki ya kale kama
Embe dodo
Itawezekanaje
Jabali
Kidege
Mtoto si nguo...
Wasanii wa bongo Movie badilikeni kwa kufanya
mazoezi ili muwe na afya njema.
Huyu jamaa kafanya la maana kama
kweli ni mazoezi ya mwaka mmoja tu,
kwa hivi..... mmmmmmhhhh!
Creativity ya wabongo bana inachekesha.....clouds fm ya powerbreakfast wanba segment yao moja inaitwa JICHO LA NG'OMBE hawa jamaa wamekwiba toka kipindi maarufu cha BULL'S EYE cha NTV kenya...
Anaefahamu nitakakoweza pata the event season ya pili na kuendelea maana kila kitafuta siipati nliangalia season ya kwanza na sikuimalizia iliishia kati ni mtu alinipa kwenye soft copy naitafuta...
MSANIII WA BONGO FLEVA ANASWA NA MADAWA YA KULEVYA-BURUNDI
Msanii wakizazi kipya, anae ondoka na mitindo ya bongo flava Ally TIMBULO kuna tetesi zinasema kuwa amekamatwa na dawa zakulevya...
salute wana jf!!!!
ni matumaini yangu kwamba mu wazima wote !!!!!
poleni kwa wale ambao afya zao si njema sana, BABA MWENYEZI awape nguvu!!
kama nilivyotanguliza, mimi ni upcoming bongo movie...
USHAHIDI WA PICHA MSANII STEVE NYERERE ATUPWA LUPANGO
PANGO
Eneo la tukio la ajali hiyo.
Mashuhuda wakishuhudia ajali hiyo, gari likiwa mtaroni.
Kushoto ni gari ya Stive yenye namba za...
When it comes to money, Bongo music is one of the most lucrative but youd never tell that listening to the artistes pour their hearts out for their loved ones. Bongo Flavour acts rake in the...