ayubu.maenge
Member
- Apr 21, 2012
- 7
- 0
Kwa habari nilizo zisikia ni kua baraza la mitihani wanatakiwa kurekebisha mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika mwaka jana na kutoa matokea mabaya,je mchakato huu utazingatia muda kweli,ili watahiniwa waweze kujiandaa kwa kidato cha tano?