'Leo ni wapi kuna kwanja zuri wadau'

'Leo ni wapi kuna kwanja zuri wadau'

KIOO

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
6,249
Reaction score
5,936
'heshima wadau...

...ee bwana nimepewa zoezi la kupeleka watu kwanja kwa leo may day ila sjajua ni wapi kwa leo kina-happen wadau nkasema JF hakishindikani kitu ngoja nizame.

Ila sasa kuna wageni tuko nao ambao ni wa-sweden hivyo sitegemei mnitajie club masai kinondoni wala maisha ningeomba disco flani tulivu hivi ambapo najua hata wageni wangu wanaweza kukutana na wenzao wakawa na kampan ya kutosha sio,plz ur help...

...thanx in advance'
 
Wazungu wanapendaga miziki yao ile wanacheza kama mazimwi. Mi najua madiaco vumbi tu . Si umuulize bosa wako?
 
'sijakuelewa king'asti...'
 
'coz disco kama disco hawawezi kupiga nyimbo za aina moja tu ni lazma watachanganya ladha ila kinachotakiwa ni sehem flani tulivu sio wa uswazi kibaaaao kila unaepishana nae ni ngozi nyeusi then pili ni kwamba leo sio weekend kwamba ratiba ziko vile vile no kuna sehem nyingine leo hawagongi ndo mana nkaona niulize coz kuuliza si..........?'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom