Na hao EATV wao wameiga toka wapi hicho kipindi?
watanzania bhana, swali kwa swali..... utakuwa unafanana na ruge kiakili..... kila kitu cloud Tv Wanainga kutoka EATV nalipo wazi mpaka EATV wanakamsemo
~ Acha tufanye yetu na Wewe fanya yako babu na baada ya kutoelewa wakaja na
~ Kaushaaaaa babu.
Bado tu unabisha, na EATV ni maujanja yao tu wanawatalamu kabisa tofauti na upande wa pili na ushabiki tu na sura nzur plus sauti.
Na hao EATV wao wameiga toka wapi hicho kipindi?
Unabisha nini? hata jina la power breakfast wameiga kutoka citizentv.
Na Citizen hawajaiga?
Kwa iyo nyie mnaiga ili iweje?
Hujajibu swali langu. Ngoja nikuulize tena.
Na Citizen hawajaiga?
Tu-assume wameiga, sasa kama tayari east Africa kulikua tayari kuna kipindi cha powerbreak fast, nyie mliiga ili iweje?
Sasa kama Citizen nao wamegelezea toka kwingine utawananga vipi Clouds na kusema wamewaiga Citizen?
Na hao EATV wao wameiga toka wapi hicho kipindi?
Naomba muingilizie na kipindi cha Fear factor ka nyie ni wanaume.
Hicho kipindi cha In da haus na wao wameiga bana. Usitake kuwapa credit kana kwamba ni wabunifu kihivyo.
Hata kile kipindi cha Mkasi nacho kimeigwa vilevile. Unabisha?
Clouds TV wanaiga kila kitu sio wabunifu? Wao ni kuchota kila kitu!