Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari ya mapumziko ya mwisho wa wiki! Wakubwa kama kuna mtu mwenye interest kama mimi na Zilipendwa hasa za Afrika Kusini naomba msaada anisaidie wapi naweza kupata Album nzima ya Mwanamuziki wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
8. Mrema - Dr. Remmy Ongala & Orchestre Super Matimila.mov - YouTube
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukweli ni kwamba tasnia ya filamu ni sekta ambayo inazidi kukua na inaongoza kuwa chanzo cha ajira kwa vijana hapa nchini. Vijana wengi ambao awali walikuwa wahalifu sasa wameingia kwenye filamu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapenzi wa series za wakorea, ipi kati ya hizo ilikuwa tity?
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ndugu wana JF. Nikiwa kwenye hatua za mwisho kwenda Tanzania kwa wiki mbili na nusu, ningeomba kwa yeyote yule anisaidie kunijuza kumbi za bendi na miziki ya dansi na zilipendwa kwa jiji la Dar es...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
:: Nimekuwa shabiki wa nyimbo za Zilipendwa na napenda sana kujua machache yahusuyo baadhi ya wanamuziki :: Kuna miziki ya kale kama Embe dodo Itawezekanaje Jabali Kidege Mtoto si nguo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hakuna elements za ubaguzi hapa?!tizama video hii halafu ufunguke kwa maono yako
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wasanii wa bongo Movie badilikeni kwa kufanya mazoezi ili muwe na afya njema. Huyu jamaa kafanya la maana kama kweli ni mazoezi ya mwaka mmoja tu, kwa hivi..... mmmmmmhhhh!
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naona huu mwaka wa wazee katika filamu Last stand,Die hard
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Creativity ya wabongo bana inachekesha.....clouds fm ya powerbreakfast wanba segment yao moja inaitwa JICHO LA NG'OMBE hawa jamaa wamekwiba toka kipindi maarufu cha BULL'S EYE cha NTV kenya...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Anaefahamu nitakakoweza pata the event season ya pili na kuendelea maana kila kitafuta siipati nliangalia season ya kwanza na sikuimalizia iliishia kati ni mtu alinipa kwenye soft copy naitafuta...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu jamaaa anandikaje Mashairi yake! http://youtu.be/8oO_8Z548-U
0 Reactions
20 Replies
7K Views
MSANIII WA BONGO FLEVA ANASWA NA MADAWA YA KULEVYA-BURUNDI Msanii wakizazi kipya, anae ondoka na mitindo ya bongo flava Ally TIMBULO kuna tetesi zinasema kuwa amekamatwa na dawa zakulevya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
salute wana jf!!!! ni matumaini yangu kwamba mu wazima wote !!!!! poleni kwa wale ambao afya zao si njema sana, BABA MWENYEZI awape nguvu!! kama nilivyotanguliza, mimi ni upcoming bongo movie...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
USHAHIDI WA PICHA MSANII STEVE NYERERE ATUPWA LUPANGO PANGO Eneo la tukio la ajali hiyo. Mashuhuda wakishuhudia ajali hiyo, gari likiwa mtaroni. Kushoto ni gari ya Stive yenye namba za...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
When it comes to money, Bongo music is one of the most lucrative but you’d never tell that listening to the artistes pour their hearts out for their loved ones. Bongo Flavour acts rake in the...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Habari wapenzi wa filamu za ndani na nje ya TANZANIA, nimeangalia DEATH RACE 3 hakika nimefurahi sana hasa baada ya kumuona dada machachari wa isidingo Nandipa akifanya vitu vyake mule, ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
{1}.YOUSSOUR N'DOUR-SENEGAL {2}.P SQUARE(PETER and PAUL OKOYE)-NIGERIA. {3}.D BANJ-NIGERIA. {4}.KOFFI OLOMIDE-DRC. {5}.SALIF KEITA-MALI. {6}.FALLY IPUPA-DRC. {7}.2FACE IDIBIA-NIGERIA. {8}.HUGH...
0 Reactions
68 Replies
52K Views
kwa wale waliodhani kuwa wakawaka asili yake ni Afrika ya kusini wamejidanya,waka waka ni nyimbo iliyotungwa kwa mala ya kwanza na msanii toka CAMERUN miaka ya 80 na haikluwa ikiitwa WAKAWAKA jina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom