Habari ya mapumziko ya mwisho wa wiki!
Wakubwa kama kuna mtu mwenye interest kama mimi na Zilipendwa hasa za Afrika Kusini naomba msaada anisaidie wapi naweza kupata Album nzima ya Mwanamuziki wa...
Ukweli ni kwamba tasnia ya filamu ni sekta ambayo inazidi kukua na inaongoza kuwa chanzo cha ajira kwa vijana hapa nchini. Vijana wengi ambao awali walikuwa wahalifu sasa wameingia kwenye filamu...
Ndugu wana JF. Nikiwa kwenye hatua za mwisho kwenda Tanzania kwa wiki mbili na nusu, ningeomba kwa yeyote yule anisaidie kunijuza kumbi za bendi na miziki ya dansi na zilipendwa kwa jiji la Dar es...
::
Nimekuwa shabiki wa nyimbo za Zilipendwa na napenda sana kujua machache yahusuyo baadhi ya wanamuziki
::
Kuna miziki ya kale kama
Embe dodo
Itawezekanaje
Jabali
Kidege
Mtoto si nguo...
Wasanii wa bongo Movie badilikeni kwa kufanya
mazoezi ili muwe na afya njema.
Huyu jamaa kafanya la maana kama
kweli ni mazoezi ya mwaka mmoja tu,
kwa hivi..... mmmmmmhhhh!
Creativity ya wabongo bana inachekesha.....clouds fm ya powerbreakfast wanba segment yao moja inaitwa JICHO LA NG'OMBE hawa jamaa wamekwiba toka kipindi maarufu cha BULL'S EYE cha NTV kenya...
Anaefahamu nitakakoweza pata the event season ya pili na kuendelea maana kila kitafuta siipati nliangalia season ya kwanza na sikuimalizia iliishia kati ni mtu alinipa kwenye soft copy naitafuta...
MSANIII WA BONGO FLEVA ANASWA NA MADAWA YA KULEVYA-BURUNDI
Msanii wakizazi kipya, anae ondoka na mitindo ya bongo flava Ally TIMBULO kuna tetesi zinasema kuwa amekamatwa na dawa zakulevya...
salute wana jf!!!!
ni matumaini yangu kwamba mu wazima wote !!!!!
poleni kwa wale ambao afya zao si njema sana, BABA MWENYEZI awape nguvu!!
kama nilivyotanguliza, mimi ni upcoming bongo movie...
USHAHIDI WA PICHA MSANII STEVE NYERERE ATUPWA LUPANGO
PANGO
Eneo la tukio la ajali hiyo.
Mashuhuda wakishuhudia ajali hiyo, gari likiwa mtaroni.
Kushoto ni gari ya Stive yenye namba za...
When it comes to money, Bongo music is one of the most lucrative but youd never tell that listening to the artistes pour their hearts out for their loved ones. Bongo Flavour acts rake in the...
Habari wapenzi wa filamu za ndani na nje ya TANZANIA, nimeangalia DEATH RACE 3 hakika nimefurahi sana hasa baada ya kumuona dada machachari wa isidingo Nandipa akifanya vitu vyake mule, ni...
kwa wale waliodhani kuwa wakawaka asili yake ni Afrika ya kusini wamejidanya,waka waka ni nyimbo iliyotungwa kwa mala ya kwanza na msanii toka CAMERUN miaka ya 80 na haikluwa ikiitwa WAKAWAKA jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.