Wameiiga vibaya. Nimekua nikifuatlia wala hawana mvuto. wenzao Kenya wamekopi toka majuu ila huwa wana acknowledge kimtindo....... you can check it kwenye Youtube kwa Neno Just for Laugh
Hao wanapenda vya dezo, wenzao wameumiza vichwa wao wanajichukulia tu senzi zao, kuweni wabuni nyinyi au ndo mnategemea kutoa 0713 zenu, maana hamuishi kuupigia debe huo upumbav na mwisho wake mnakuw mazezeta!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.