Naomba mwenye links za kudownload Nyimbo za Dini

Naomba mwenye links za kudownload Nyimbo za Dini

Dini gani? Nisije nikakuwekea link ya nyimbo za injili hapa kumbe wewe wataka kaswida
 
Ingia youtube then andika jina la wimbo utakao kama utakuwepo kwa youtube then unatakiwa uwe na realplayer so ukishacheza video ya wimbo utakao kama umewekwa kwa youtube then gonga hapo kwa juu upande wa kulia itatokea download this then just gonga halafuu utakwenda kwa library yako sasa huko waweza kuzifanya hizo video kuwa Mp3 au audio kama kawaida
 
Nyimbo za dini tununueni jamani..za hao mailluminati tuzipakue kama kenya
 
siyo nyimbo za injili ni nyimbo za disko mambo ikisasa injili.nyimbo za injili ziko sabato na kidogo RC kwakuwa nao sikuhizi wanacheza mpaka utamaduni
Hivi ukiimba ukiwa umesimama wima au kucheza kuna tofauti gani? Daudi mwenyewe alimchezea Mungu kulingana na maandiko katika zaburi.
 
andika jina la nyimbo af search ktk hulkshare via google.mfano ktk google andika hiv utamu wa yesu/hulkshare.com as search thn utapata nyimbo unazo ztaka na utapakua vzur...tumia uc browser ndo nzur
 
siyo nyimbo za injili ni nyimbo za disko mambo ikisasa injili.nyimbo za injili ziko sabato na kidogo RC kwakuwa nao sikuhizi wanacheza mpaka utamaduni
kwani kucheza utamaduni ni dhambi? Kazi kwelikweli
 
Hivi ukiimba ukiwa umesimama wima au kucheza kuna tofauti gani? Daudi mwenyewe alimchezea Mungu kulingana na maandiko katika zaburi.

Daudi hakumaanisha hivyo nenolililo tumika kwa kiebrania linamaana ya filimbi furuti
 
Nitaandika mada inayo husiana na mziki wa injiri kwa kutumia BIBLIA na utakae changia naomba utumie bibria siyo kukaririshwa au mazowea. waulize walio kutangulia ktk dini uliyomo je zamani walicheza, imekuwaje sasa au wamepata mafunuo mapya?
 
Nitaandika mada inayo husiana na mziki wa injiri kwa kutumia BIBLIA na utakae changia naomba utumie bibria siyo kukaririshwa au mazowea. waulize walio kutangulia ktk dini uliyomo je zamani walicheza, imekuwaje sasa au wamepata mafunuo mapya?

Lete hiyo mada mimi niko tayari kuchangia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom