Namfagilia sana Sele pamoja na mambo yake , is one of my favorite singers hapa bongo.!
kuishiwa ni sehemu ya maisha hata papa msofe yupo jela sasa.inatoka roho senbuse kuishiwa.haaana kitu yule kashaishiwaa zama zake zimeishaa#Kaanza imba taarabu#Song yake mpya Sukari*
Hiv n kweli Afande sele atabaki kuwa Mfalme wa Ryhmz Tz hakuna mwingne
Yah! Hata me namkubali kiongoz