Mwigizaji wa kike anayetesa katika tasnia ya filamu Bongo Diana Rose kimaro Diana amedai kuwa hana mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote na wala hafikirii kuwa na Boyfriend kwani yeye bado...
nikisikiliza nyimbo zao kama vile SELINA, NAWASHUKURU WAZAZI WANGU, MKATAA PEMA, DUNIANI KUNA MAMBO, NALALA KWA TABU, EDITHA, MFAUME WA NILIZA hua naskia raha sana. im very proud of you SIKINDE...
OMMY DIMPOZ AMTANDIKA TUSI MAREHEMU NGWEA....ANADAI KUWA HAWEZI KUFA MASIKINI KAMA NGWEA NA AMECHOKA KUZIKA MASIKINI
KWELI asiye na adabu hakosi sababu ya kuharibu, mwenye mdomo mchafu ni ada...
"You're My Best Friend"
You placed gold on my finger
You brought love like I've never known
You gave life to our children
And to me a reason to go on.
You're my bread when I'm hungry
You're...
BABY MADAHA ALIZWA NGUO ZAKE ZA NDANI....
KATIKA hali ya kushangaza, msanii wa filamu na muziki Baby Joseph Madaha amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuibiwa nguo zake za ndani alizokuwa...
"LAZIMA NIFE KABLA YA KUFIKISHA MIAKA 40"...AUNT EZEKIEL
WAKATI vifo vikizidi kuwatafuna wasanii, staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amefunguka na kudai kuwa hawezi kuishi miaka mingi...
Miaka ya 90 kulikua na makundi ya wanamziki haswa wa kimarekani yaliyokuwa yakitamba. Kwa sasa hayasikiki tena. Nini kimeyasibu makundi haya.? Kwa mfano Boyz ll men, Soul 4 real, KCI & JOJO, Black...
http://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpage&v=fI3nlgETdn8
http://www.youtube.com/watch?NR=1&v=_kz-QNkz4eg&feature=endscreen
mytake
Kijana alistahili kuwa mshindi wa Arab Idol
Ni kuhusu matumizi ya neno " UNDERGROUND KING". Kwa muda mrefu sasa, Mansu-Li umekuwa ukijiita UNDERGROUND KING but i realy doubt kama unafahamu maana yake.
HISTORIA YA MATUMIZI...
Nando, Student, 22, Tanzania
BIO: Student Nando says he has never watched Big Brother before and says it feels normal that the continent will be watching him 24/7. His friends encouraged him...
STAA wa filamu na muziki Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula' amekiri kuwa katika wakati mgumu kutokana na kukabwa na mashetani usiku na kumsababishia maumivu makali ya mwili hadi kuhisi kufa...
Andy Whitfield, star of the cable show "Spartacus: Blood and Sand," died Sunday of non-Hodgkin's lymphoma at the age of 39.
Source
Andy Whitfield dies of lymphoma - latimes.com
Hawa akina dada wanatudhalilisha wanawake wote. Jamii inatakiwa iwalaani kwa laana zote na serikali ihakikishe udhalilishaji huu unakomeshwa mara moja. Fuatilia video:-
Mambo Ya Kumwaga Radhi...
Hapa ni Mwana FA
Picha: Waliohudhuria kwenye The Finest ya Mwana FA - Bongo5
Hapa ni JIDE
Picha: Show ya miaka 13 ya Lady Jaydee – Nyumbani Lounge - Bongo5
Hapo utajaji mwenyewe
MSALITI by Christian Bella HD / EXCLUSIVE artist: Christian -Bella
song : Msaliti
Dir. : Panchito Delmachin Source :Video was up-loaded to youtube this April, 2013 by Panchito Delmachin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.