King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,891
- 95,196
Umofia kwenu wana JF,
Nimefanya research clouds Fm radio na kugundua kwamba endapo msanii ataenda kinyume na managent{ruge&joe} basi wimbo wowote ambao ametajwa huyo msanii basi wata futa ilo neno wimbo ukienda hewani,baadhi ya nyimbo ambazo wasanii majina yao yamefutwa kwenye nyimbo walizojatwa ni:-
1.Ni ghetto langu,kwenye intro neno pfunk limetolewa na pia kwenye verse ya pili sehemu inayosema "kama haumini muulize hata P" neno P wanalikata
2.kwenye wimbo alioiba ben pol jikubali kuna mstari unasema "unaweza kuwa lady jaydee unaweza kuwa zitto" neno lady jaydee limefutwa
3.Kuna kipindi inspecta harun alivyogombana nao na kipindi hcho ngoma ya buzi ina bang na watu wakawa wanairequest ikabid waipige hewani coz kuna msanii wao wa smooth vibes n.k.a prime time promotion lakini kwenye verse ya inspector wakafuta vesi yote.
CLOUDS Fm mmeishiwa jipangeni upya huo upompompo wa kufutafuta unazidi kuwachimbia kaburi.
Nimefanya research clouds Fm radio na kugundua kwamba endapo msanii ataenda kinyume na managent{ruge&joe} basi wimbo wowote ambao ametajwa huyo msanii basi wata futa ilo neno wimbo ukienda hewani,baadhi ya nyimbo ambazo wasanii majina yao yamefutwa kwenye nyimbo walizojatwa ni:-
1.Ni ghetto langu,kwenye intro neno pfunk limetolewa na pia kwenye verse ya pili sehemu inayosema "kama haumini muulize hata P" neno P wanalikata
2.kwenye wimbo alioiba ben pol jikubali kuna mstari unasema "unaweza kuwa lady jaydee unaweza kuwa zitto" neno lady jaydee limefutwa
3.Kuna kipindi inspecta harun alivyogombana nao na kipindi hcho ngoma ya buzi ina bang na watu wakawa wanairequest ikabid waipige hewani coz kuna msanii wao wa smooth vibes n.k.a prime time promotion lakini kwenye verse ya inspector wakafuta vesi yote.
CLOUDS Fm mmeishiwa jipangeni upya huo upompompo wa kufutafuta unazidi kuwachimbia kaburi.