mzee wandimu
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 470
- 232
Yule mwakilishi wa Tz Nando ametolewa kwa kosa la kutaka kumchoma kisu mshiriki toka Ghana! hii ilitokea juzi baada yakutofautiana! Dogo alisema mtu kama huyu hasitahili kuishi! na kuamua kuenda kulala na mkasi! mpaka alipotakiwa kuotoa huo mkasi na biggie!