Mwanzoni nilipoingia club 71 wakati imefunguliwa niliona kama club ya maana kwa watu wastaarabu.Lakini nimeifanyia tathmini na kugundua ni ya vijana zaidi.Vurugu za vijana na madem na ma-DJ wa hapo mpaka wastaarabu tunaonekana hatuna maana..Nadhani itakuwa ya kiswazi mda si mrefu...Nawasilisha!