Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,077
- 34,848
[h=3]"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL[/h]
MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael Lulu amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake.
Lulu alisema hayo juzi, katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha EATV cha Jijini Dar es Salaam.
Sasa hivi nasali sana, namuamini Mungu katika maisha yangu na mbali ya kwenda kanisani, pia nasali mwenyewe katika sala zangu.
Ningependa maisha ya sasa ninayoishi ningeishi siku za nyuma, lakini yote ya Mungu labda maisha yale nisingeyaishi siku za nyuma, ningekuja kuyaishi baadaye, alisema Lulu.
Katika hatua nyingine, alisema anavutiwa na kazi ya msanii wa bongo fleva, Bernard Paul Ben Pol
ambaye tungo za nyimbo zake zinamkosha kuzisikiliza.
"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL - MPEKUZI HURU
MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael Lulu amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake.
Lulu alisema hayo juzi, katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha EATV cha Jijini Dar es Salaam.
Sasa hivi nasali sana, namuamini Mungu katika maisha yangu na mbali ya kwenda kanisani, pia nasali mwenyewe katika sala zangu.
Ningependa maisha ya sasa ninayoishi ningeishi siku za nyuma, lakini yote ya Mungu labda maisha yale nisingeyaishi siku za nyuma, ningekuja kuyaishi baadaye, alisema Lulu.
Katika hatua nyingine, alisema anavutiwa na kazi ya msanii wa bongo fleva, Bernard Paul Ben Pol
ambaye tungo za nyimbo zake zinamkosha kuzisikiliza.
"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL - MPEKUZI HURU