"sasa nimeokoka.....ujinga sitaki tena"...lulu michael

"sasa nimeokoka.....ujinga sitaki tena"...lulu michael

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,077
Reaction score
34,848
[h=3]"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL[/h]


MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake.


Lulu alisema hayo juzi, katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha EATV cha Jijini Dar es Salaam.

“Sasa hivi nasali sana, namuamini Mungu katika maisha yangu na mbali ya kwenda kanisani, pia nasali mwenyewe katika sala zangu.

“Ningependa maisha ya sasa ninayoishi ningeishi siku za nyuma, lakini yote ya Mungu labda maisha yale nisingeyaishi siku za nyuma, ningekuja kuyaishi baadaye,” alisema Lulu.

Katika hatua nyingine, alisema anavutiwa na kazi ya msanii wa bongo fleva, Bernard Paul ’Ben Pol’

ambaye tungo za nyimbo zake zinamkosha kuzisikiliza.

"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL - MPEKUZI HURU
 
"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL




MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu' amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake.


Lulu alisema hayo juzi, katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha EATV cha Jijini Dar es Salaam.

"Sasa hivi nasali sana, namuamini Mungu katika maisha yangu na mbali ya kwenda kanisani, pia nasali mwenyewe katika sala zangu.

"Ningependa maisha ya sasa ninayoishi ningeishi siku za nyuma, lakini yote ya Mungu labda maisha yale nisingeyaishi siku za nyuma, ningekuja kuyaishi baadaye," alisema Lulu.

Katika hatua nyingine, alisema anavutiwa na kazi ya msanii wa bongo fleva, Bernard Paul 'Ben Pol'

ambaye tungo za nyimbo zake zinamkosha kuzisikiliza.

"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL - MPEKUZI HURU

sasa wakati anasema haya maneno ya KUOKOKA,alikuwa kavaa hivi hivi kama picha inavyomuonyesha????
 
Wanaanza hivi hivi, oh nimeokoka, kisha utasikia anakula bata na nabii wake ambaye ni mume wa mtu. Yetu macho na masikio.
 
Ulikuwa umepotelea wapi? Au hayanihusu, it's your private parts?

Ha haaa haaaaa! Connie bana! Its his ....... what? Lol!

Btw, MziziMkavu kama mtu anasema amebadilika hakuna sababu ya kuendelea kumsakama na kutumia picha zake za zamani. Kishasema hayo ya zamani ameyaacha, amekuwa mtu mpya.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha, MwaJ bana

Hivi unamjua Mwanamalundi wewe? Yeye kila kitu huwa ni private parts, khah!

Ha haaa haaaaa! Connie bana! Its his ....... what? Lol!

Btw, MziziMkavu kama mtu anasema amebadilika hakuna sababu ya kuendelea kumsakama na kutumia picha zake za zamani. Kishasema hayo ya zamani yameyaacha, amekuwa mtu mpya.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom