Wasanii wa Music kutoka nchini NIGERIA wanao tamba sasa na kibao cha PERSONALLY kutua JIJINI DAR ES SALAAM november 21 na kuwatumbuiza wana jiji pale viwanja vya leaders club....
...
One week after the first episode of the talent search show Tusker Project Fame Season 6 went on air from the academy in Nairobi, there have been twists and turns in events.
The Beat has reliably...
kati ya movies hizi za jason bourne ni upi iliyokuvutia sana?
BOURNE IDENTITY
BOURNE ULTIMATUM
BOURNE SUPREMACY
Mimi binafsi hiyo ya tatu inanikosha sana hasa kwenye mapigano.je wewe mwenzagu?
Some past days we challenged Dr. Slaa to learn how to match his attire with functions and locations. The campaign has shown profound positive results. We are now seeing Dr.W.Slaa trying to avoid...
Dolly Parton and Porter Wagoner
Song : The pain of loving you.
Chorus
Oh,The pain of loving you
Oh,The misery I go through
Never knowing what to do
Oh,The pain of loving you...
Wadau yule dogo aliyedai kuwa ndugu an Diamond katoa Single, kifupi KAUAAAAAAAAA!
Jipakulie hapo au isikilize.
DOGO S.KIDE-DIAMOND by arungu - Hulkshare
DOGO S.KIDE-DIAMOND by arungu - Hulkshare
Mpaka miaka ya kama themanini hivi nchi hii palikuwa na majumba ya kuonesha sinema kama Avalon, New Chox, Empire, Empress, Drive In n.k. kwa Dar es Salaam na mikoani pia palikuwapo majumba hayo...
Hivi vipindi vingine jamani naomba viangalia utu....maana naangalia hiki kipindi cha huyu uwoya mpaka kimenifanya nimebadilishe Channel.
Kama unaamua kumsaidia mtu sio lazima kumjulisha kila...
WANASOKA ULAYA MNAMJUA SANA REFA "HOWARD WEBB",KWA DSM HUYU REFA KIPUNJE,ANACHEZESHA NA PANGA KIUNONI
Refa Kipunje akiwa kazini
In Summary
Pia hata mechi ngumu za Ligi Kuu England au Ligi ya...
Habari wadau
leo naona ni bora nitoe dukuduku langu kwani nahisi hapa ni mahali sahihi pa kufanikiwa ndoto zangu. mimi ninapenda sana kuimba, na malengo yangu ilikuwa ni kuwa mwanamuziki hapo...
BILA STEPS INAWEZEKANA
NA WILLIUM MTITUKwa muda mrefu nimekuwa nikiulizwa sababu ya kuamua kusambaza filamu zangu mwenyewe badala ya kuzipeleka kwa wasambazaji ambao nilikuwa nikifanya nao kazi...
Duuuh, jana nikasema ngoja niangalie BSS maana tangu ianze sijaangalia, nilichokutana nacho niliona aibu mwenyewe maana mtu unashangaa hawa washiriki wametolewa wapi,ni aibu tena kwa television...
Wana jf hivi hili tamasha la fiesta linaloendelea mikoani mnalionaje,maana mpaka sasa hawa jamaa wameshapita ktk jumla ya mikoa 13 na bado wanaendelea na kote huko wanakusanya hela, mimi...
Jana nilikuwa nawatch kipindi cha Salama Mkasi..Huyu Mrembo Joketi alivyokuwa anabehave mbona sikuamini nilichokuwa nakiona?I thought ni Star anayejielewa,ana exposure but naishia kumuona Anacheka...
Salam wakuu,
Kwa wale wapenzi wa muziki wa hiphop nafkiri mtakubaliana na mimi kwamba hivi vichwa viwili ni hatari sana katika kuandika nyimbo za ukweli interms of conscious na vilevile hata flow...