Msaada: Nyimbo za sam fan thomas

Msaada: Nyimbo za sam fan thomas

Nilufer

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
9,863
Reaction score
14,345
wadau wa burudani naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia nikapata nyimbo za mwanamuziki wa siku nyingi anayeitwa SAM FAN THOMAS (hata sijui ni wa nchi gani)
nakumbuka nikiwa mdogo tulikuwa tunazisikiliza sana nyumbani nyimbo hizo kama SONGEA, AFRICAN TYPIC COLLECTION, MAKOSA n.k baba alikuwa akitoka kugida (ndivyo alivyokuwa akiita mwenyewe) basi ni lazima tucheze naye hiyo miziki ya huyo jamaa, it was fun kwa kweli.


cc Nakapanya Baba V Arushaone Babu Dc Kaizer watu8 Judgement Chocs Mrembo by Nature Ruttashobolwa mwekundu The Boss kiwatengu Heaven on Earth ladydoctor Erickb52 Mokoyo Munkari christine ibrahimu Malafyale @figganigga gfsonwin Mashaxizo na wengine
naomba niombe radhi kama nitakuwa nimekumention ilihali ww si mdau wa burudani ni katika kutaka haja yangu ifanikiwe.
natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
you tube hamna?,honestly song za huyo mtu sizijui labda zipigwe ndo nitakumbuka ingekua SAMBA MAPANGALA fasta ningekutumia
 
you tube hamna?,honestly song za huyo mtu sizijui labda zipigwe ndo nitakumbuka ingekua SAMBA MAPANGALA fasta ningekutumia
ahsante mkuu kwa response yako. mkuu wacha tusubiri wadau wengine
 
DEMBA kumbe nawe wamo eenh...huyo jamaa anatokea taifa la Cameroon, alivuma sana miaka ya 80 na 90.
 
Last edited by a moderator:
wanau wa burudani naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia nikapata nyimbo za mwanamuziki wa siku nyingi anayeitwa SAM FAN THOMAS (hata sijui ni wa nchi gani)
nakumbuka nikiwa mdogo tulikuwa tunazisikiliza sana nyumbani nyimbo hizo kama SONGEA, AFRICAN TYPIC COLLECTION, MAKOSA n.k baba alikuwa akitoka kugida (ndivyo alivyokuwa akiita mwenyewe) basi ni lazima tucheze naye hiyo miziki ya huyo jamaa, it was fun kwa kweli.




cc Nakapanya Baba V Arushaone Babu Dc Kaizer watu8 Judgement Chocs Mrembo by Nature Ruttashobolwa mwekundu The Boss kiwatengu Heaven on Earth ladydoctor Erickb52 Mokoyo Munkari christine ibrahimu Malafyale @figganigga gfsonwin Mashaxizo na wengine
naomba niombe radhi kama nitakuwa nimekumention ilihali ww si mdau wa burudani ni katika kutaka haja yangu ifanikiwe.
natanguliza shukrani zangu za dhati.

Huu hapa mmoja :Sam Fan Thomas - Noa - YouTube
 
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
DEMBA nahisi wimbo ambao utakuwa uliupenda na kuucheza sana utakuwa huu hapa chini.

 
Last edited by a moderator:
DEMBA kumbe nawe wamo eenh...huyo jamaa anatokea taifa la Cameroon, alivuma sana miaka ya 80 na 90.

haa haa watu8 baba yangu alikuwa akipenda sana hizo nyimbo yaani akilewa ni lazima nyumba nzima mcheze, mama alikuwa anachukiaje sasa!!
 
DEMBA nahisi wimbo ambao utakuwa uliupenda na kuucheza sana utakuwa huu hapa chini.



daah niko mbali na computer kidogo nikirudi ntaucheki, ahsante mkuu...
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
daah nashukuru Mashaxizo. kweli jf hakuna linaloshindikana...

Vizuri umereply with qoute hiyo link ya mwanzo!
Angalia post nimeidit hapo, coz nimejaribu kuingia imeleta magumashi!
So angalia ingia na hiyo nyengine!
I hope moja wapo or zote zitakufaa!
 
Last edited by a moderator:
Vizuri umereply with qoute hiyo link ya mwanzo!
Angalia post nimeidit hapo, coz nimejaribu kuingia imeleta magumashi!
So angalia ingia na hiyo nyengine!
I hope moja wapo or zote zitakufaa!
nimeona mkuu, ntaingia halafu nitakupa mrejesho
 
DEMBA ni furaha yangu kuona kama umesadiwa na wadau hapa vya kutosha!Kama lipo la nyongeza baby ni PM!
Missing u alot
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom