Hope channel

Maarifa

JF-Expert Member
Nov 23, 2006
4,568
2,911
Wpendwa mie ni mshabiki sana wa hope channel. Natumia dish la kawaida. Sasa nina mpango wa kutumia dstv or any other tv providers inayokamata. Satr times wanyo ila huwa ikatika katika sana siyo stable.
Au nawezatumia dstv na kuipata. Please wakuu wa digitali naomba msaada wenu hapa
mbarikiwesana
 
je kwa kuwa na dstv waweza ipata mkuu? Thank you so much though
 
Back
Top Bottom