Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
salaam wakuu...wiki iliyopita nilitumiwa nyimbo kama nne hivi za msaniii mmoja anaitwa baba kundambanda...jamaa ameongea maneno makali sana lakini pamoja na yote ameongea ukweli......mi nasema huyu ni zaidi ya msaniii....
nina ku attach mzigo hapo chini huenda nanyi mkapendezewa nazo
nina ku attach mzigo hapo chini huenda nanyi mkapendezewa nazo