Msaada wana JF, nahitaji download manager,inakua inanisumbua kila nikii download inaniambia file incomplete, msaada kwa mdau anaejua jinsi ya kui download hii kitu, au dowload manager yoyote...
Mi ni mpenzi sana wa movies;uwongo mbaya hasa muvi za kimarekani kutokana na mpangilio wake wa stori kwa ujumla. mf utakuta mtu ka Nicolus Cage anaigiza ka mwalimu(lecturer) yaani jamaa anaitendea...
Mashabiki wa mpira wa miguu hukumbwa na kimuhe muhe wakati mtanange ukiwa unaendelea ambapo mmoja wapo ni kile kitu kinaitwa MIDADI.
Je una kumbukumbu ya tukio lolote la midadi ulilolipataa...
Tumechoshwa na habari na thread za Zitto Kabwe. Lets refresh our mind with these nice congolese songs
Pepe Kalle & Empire Bakuba- Mamie (Papy Tex) 1992 - YouTube
wana ndugu najua wengine watakuja kuuliza bongo satra seach mi najua wakitoka pale wanakuwa wanamuziki wanapata vipaji na ajira zao kuna hawa maisha plus mwishowe mtu anafaidika na nini mbeleni...
wakuuu naona ni share nanyi series ambazo sita weza kuzisahau or my top 5
.kyle xy
.touch
.secret circle
.chuck
.mind your language
kama umewahi kuona moja kati ya hizo je wazionaje.....
movie ya kwanza (the unspected journey). ilitoka 2012. mwaka 2013 imetoka the desolation of smaug ndo nataka kuanza kuicheki ila kwa kuangalia highlight naona kutakuwa na movie tatu kama lords of...
Wakuu wana JF kuna wimbo niliwahi kuusikia miaka ya nyuma kidogo niliupenda ila simkumbuki Msanii wala Jina la Wimbo ila maneno haya yaliimbwa humo:
Kama ni watoto,
fika kwetu posa...
Here are the conquerors from each category:
Instrumentalists: Nikita from Ukraine, Lugansk
Dance Groups: Stroopers from Philippines, Alilem, Ilocos Sur...
In just three days, Beyonce sold more than 617,000 Pitia hapo www.Daily news.com .SASA hichi kitu kimenishangaza sana Mpaka nika Amua kuweka huu Uzi hapa.najiuliza after one month itakuwa kauza...
Wana jukwaa habari zenu?kwa wafuatiliaji wa hii series nimefika season.ya nne cjaielewa kabisa.ufafanuzii plz maana mara waonyeshe vitu vilivyopita,mara vijavyo
Mnapiga sebene kiwango duni halafu mnategemea washiriki wacheze vizuri?Hivi msipoharibu huwa hamjisikii raha?Halafu acheni kucheza wimbo mmoja mnaharibu sana kipindi na halafu kwa nini msiruhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.