Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Natafuta chuo chochote nchini Kenya au south Africa kinachofundisha acting,directing and script writing kwa bei nafuu,nataka nilete mabadiliko kwenye tasnia ya filamu nchini...shukrani
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jamani hii movie YA FIFTY SHADES OF GREY inatoka lini? cant wait
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa Hip Pop jina hili sio la kuuliza na wale wanaofuatilia kwa ukaribu zaidi watakuwa wanakumbuka mazingira yaliyozunguka mauti yake. Zimekuwepo fununu nyingi na uzushi lakini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JUSTIN Bieber has been arrested in Miami Beach for drag racing and driving under the influence, police told local media. NBC Miami said Bieber was in a rented Lamborghini but...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
[Ukombozi Africa – Urafiki Jazz Band] Mwenyekitiiiiiii, Wa nchi tano zilizo mstari wa mbeleeee, Tunakuomba, Uzidishe mapambano ya kusini, Mwa Afrika, Kwani maadui , wa Afrikaaaaaaaaaa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Jamani kati ya mwanamuziki diamond platnumz na chamelion nani unamkubali zaidi??toa maoni yako tafadhali
0 Reactions
23 Replies
5K Views
naomba kupatiwa source yoyote ntakayoweza kupata nyimbo ya wazee wa ngwasuma- inayoitwa wale wale
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Anaitwa Rod Temperton. Pamoja na Michael Jackson kutoa Album yake iliyokuwa sokoni zaidi ya mwaka mzima, ni wimbo wa huyu jamaa ulikuja kubadilisha POP na MJ akawa King wa Pop duniani. Wengine...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara amemteua Mheshimiwa Pindi Chana kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu na Michezo ya kuigiza katika kipindi cha miaka mitatu ijayo...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu wapi naweza kuipata DVD ya hiyo movie kwa maeneo ya Morogoro au Dar es salaam? Mwenye kufahamu please....hiyo movie mara ya mwisho kuiona ilikuwa mwaka 2001.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Futuhi ya startv nimetokea kukipenda sana hiki kipindi kinafundisha, kinaburudisha sana. Tofauti na vipindi vingine ambavyo wao huburudisha tu ni kingine hufuata maadili ya kitanzania kuanzia...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
MWANAJF; Fuata hii link na ubarikiwe na wimbo huu wenye ujumbe mkuu sana katika maisha ya mwanadamu wa leo. Kila la kheri. Njia ya kalvari (Kurasini SDA choir) - YouTube
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Unamkumbuka msanii aliyetamka hivyo ktk wimbo wake? Huyu ni O-ten kijana aliyekuwa na bifu kali na Afande Sele. Jamaa kaishiaga wapi? Hizi ni kauli kali zisizojenga ktk maisha! Kama ulikuwepo...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
STAILI, vionjo na mfumo mzima wa muziki umekuwa ukibadilika kila siku kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo hali ya kwenda na wakati. Mabadiliko haya kwa upande mwingine yamekuwa sababu...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kajitahdi huyu bwana mdogo, ikiwa hujaona mzigo wake mpya huu hapa Bracket - Mama Africa [Official Video] - YouTube
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Umofia Kwenu wana JF, Leo 30.12.2013 katika kipindi cha mkasi mwanadada Salama Jabir atakuwa anafanya interview na Mch. Anthony Lusekelo aka Mzee wa upako kwa mtaokiona mtujuze mambo atakayoongea...
3 Reactions
88 Replies
17K Views
Kwa wasanii wa muziki, Filamu na sanaa nyingine wa Tanzania na kwa wazazi wanaotamani watoto wao wawe wasanii wana mengi ya kujifunzi kwa kuangalia hii Video ambayo ni CNN product (AFRICAN...
0 Reactions
1 Replies
866 Views
jaman wanajamvi mi nimeangalia muvi nyingi ila "Sherlock holmes" ni noumaaaa ka vp changia mada kwa muvi ya ukwel ulona tokea 2011 mpaka now
0 Reactions
0 Replies
767 Views
habari zenu wadau, tafadhari naomba msaada jinsi ya kupata zilipendwa dansi za afrika mashariki.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naomba mawazo yenu. Kijana BEKA wa THT ana sauti nzuri na nyimbo zake nzuri sana ila labda hajafahamika. Namlinganisha yeye na Diamond Platnumz kuwa katika level moja ila Diamond mzoefu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom