Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nimestuka kuna wizi mbaya unaofanywa na wasanii hasa wa filamu,utakuta msanii anatoa movie inapart mbili,wakati angeweza kuweka part 1 tu,ila utatizama part one inaishia mtu anaenda kazini kisha...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
kutoka gazeti maarufu nchini Kenya ifuatayo ni orodha ya wasani matajiri 1.JAGUAR(KENYA) 2.PREZZO(KENYA) 3.CHAMELEON(UG) 4.BOBI WINE(UG) 5.BEBE COOL(UG) Tz tuko nyuma
0 Reactions
20 Replies
94K Views
Wadau naomba mtu mwenye kujua sehemu nzuri ambayo mtu unaweza kutoka out na ukafurahi na rafiki zako. Binafsi mimi napendelea kutembelea sehemu ambayo naweza kuogelea katika swimming pool alafu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
WAPENZI WA BLUE WA ENZI HIZO LINK HII HAPA CHINI http://www.mediafire.com/listen/46c0pzt82xl09tt/BLUES%20MIX%20NON%20STOP%201980s%20%261990s
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenye jibu naomba unambie.
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,nina shida sana na hii Tamthiliya ya La Revenge iliyotikisa Bongo miaka kadhaa iliyopita,mwenye nayo au kujua jinsi ya kuipakua aniambie.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NJE YA BOX - Joh Makini, Nikki wa II, Gnako - YouTube ''nampenda manka wa kichaga jioni anauliza umekusanya shilingi ngapi leo!'' hahah kaka zangu msopenda challenge mpo?? kumbe wanawake...
3 Reactions
26 Replies
6K Views
Kwanin wasanii wote wamekimbilia Dar na waliopo huko mikoani ni kama hawajielewi vile . . . Au kila kitu Dar . . . Lunduno pamoja saaana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii ngoma mpya ya weusi GERE ni balaa tupu .flow kali ,beat kali ,kiukweli wamekuja kitofauti sana mara ya kwanza kuisikia nilishtuka kidogo lakini baada ya kuisikiliza tena nimewaelewa sana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna wimbo mmoja wa dansi, wa siku nyingi kidogo, sehemu ya maneno ni "ikiwa majungu ni mtaji yakaufanya utarike, ikiwa majungu ni biashara itakufanya ununuliwe. Ikiwa unaonaelimu ni ghali jaribu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
jamani naomba kujua hivi huu wimbo wa zamani unaoimba "Baba na mama nipeni demokrasia ya mapenzi" uliimbwa na bendi gani na unaitwaje ?natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NON STOP BOLINGO LINK HII HAPA CHINI BOLINGO MIX DANCE (TAZARA) 79 MIN
0 Reactions
0 Replies
4K Views
”KILA mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, kila mtu atatoa hesabu yake mwenyewe siku hiyo ikifika…” Hiki ni kipande cha wimbo ambao ulivuma na kupendwa...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
nan alitisha ktk awards hz mi kwangu pharell William alitsha na mkofia wake
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Wadau especially wapenzi wa stand up comedies pamoja na Black Americans comedy movies; nani mkali kati ya hawa manguli wa kutuvunja mbavu kwa vicheko ; Eddie Murphy Martin Laurence Chris Turker...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
31/1/2014 pale pale nyumbani lounge, 3 anniversary and re open party ya kufa mtu na burudani Kali kutoka machozi band ikiongozwa na commando jide mwenyewe, njoo upate bahati ya kuniona live pale...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa wanaoijua Club hii hebu tujuzeni habari zake tafadhari!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hawa wazee ni hatari, wanakamua show za kikubwa, ukitaka kula starehe watafute hawa jamaa! Hawabahatishi hata kidogo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hamjambo waku ndugu zangu? Wakati wa utoto wetu hasa tuliokulia au kuzaliwa vijijini tulikutana na burudani ya bangobango ambapo kwa sauti ya kuvutia walikonga nyonyo zetu. Nimewahi kusikiliza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom