Wagosi wa Kaya...

Wagosi wa Kaya...

shinji

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2013
Posts
263
Reaction score
185
WanaJF.

Yeyote mwenye wimbo huu atupie link yake au ani PM

shukuran daktar wetu, pamoja matabibu wote, kaz yenu ni ya huruma,
wagonjwa mwawapokelea,
wakiwah mnawapa dawa,
mola yupo wagonjwa wanapona,
kweli wagonjwa wanapona.
 
Wauguzi,wauguzi,daktari na manesi wauguzi,
taratibu jamani haya,tutaonana wabaya haya.
 
hii kitu haieleweki au mimi ndo sijaelewa?
 
Nimeingia inbox ya mtu nini!!!!! mbona chenga. Hebu ngojea ni-log nje halafu nianze tena ku-log ndani.
 
ulikua na maana gani, embu tujuze wana JF vizuri maana hueleweki.
 
Back
Top Bottom