Kwenye masuala ya burudani, kampuni ya Prime Time Promotion
ilijipatia zabuni ya Sh milioni 194.7. kumbe nao ni moja wa taasisi zinazoibomoa hii nchi,bse nao wametajwa ktk taasisi zilizo shiriki...
Mama mzazi wa Marehem msanii wa bongo movie (comedy) na Bongo Flava Sharomilionea amefunguka kuwa mpaka leo anashangaa hajakabidhiwa baadhi ya vitu vya thamani alivyokua akimiliki mtoto wake...
Mwanzoni nilipoingia club 71 wakati imefunguliwa niliona kama club ya maana kwa watu wastaarabu.Lakini nimeifanyia tathmini na kugundua ni ya vijana zaidi.Vurugu za vijana na madem na ma-DJ wa...
Mwakilishi wa BBA The Chase kutoka Zimbabwe aliyejipambanua kama strong na mwenye msimamo thabiti kiasi cha kupelekea akina Feza kumuogopa kama threat, amekutana na kisanga cha mwaka baada ya...
Wakuu kama kuna mtu huwa anafuatilia hiki kipindi cha Pika bomu cha Startv jumatatu kimetulia sana na mwendeshaji wake mzee Ndashau,ni cha kibunifu na kinaburudisha.
MASHABIKI WAMPONDA WEMA SEPETU BAADA YA KUYAANIKA MATITI YAKE MTANDAONI
Did I miss a spot ? I dunno, ni maneno ya Wema kwenye picha aliyoiweka leo katika mtandao wa Instagram.
Hata hivyo...
MSANII SHETTA AMALIZA BIFU NA BABA YAKE BAADA YA KUZINGUANA TANGU AKIWA NA MIAKA 7
Baraka za mwezi Mtukufu wa Ramadhan zimeitembelea familia ya Baba Qayllah, Shetta Bilal. Baada ya miaka mingi...
Writer: Jenny from BUYDVDAU
Before i started watching Homeland DVD,i read an article about it, i feel more curious about this drama. I dont get it. How could Brody and Carrie fall in love with...
Writer: Jenny from BUYDVDAU
Homeland DVD is a good drama to watch. You will guess a lot during watching. There are not too many clear consequences, people in homeland hide deeply so it is hart to...
Waungwa wa JF,
Naipenda sana kazi hii ya Alpha Blondy. Nimeona baadhi ya nyimbo youtube sasa nahitaji album nzima. Nitapata studio gani kwa Dar?
No matter who win, Liberia is crying
No matter who...
Natazama East Africa Television.
Mbunge wa Bukene Tabora Mh:Suleiman Jumanne katika maelezo ametamka neno Mrabaha, badala ya Mrahaba.
Kosa kama hilo lili fanywa na Mh: Naibu wa Nishati na madini...
Wastara Juma amefunguka kuwa wanaume wengi waliokuwa wakimsaidia wakati mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki' akiwa mgonjwawanamgeuka na sasa wanamtaka kimapenzi.
Akizungumza kupitia Kipindi cha...
Filamu aliyoigiza marehemu Sajuki na mke wake Wastara Kivulileo imeingia sokoni rasmi.
Filamu hiyo iliyotayarishwa
na Wajay Film Co na kusambazwa na kampuni ya Steps imewahusisha
pia...
Habari zenu wana jamvi, nakuja kwenu kujaribu kupata mawazo yenu. Kuna track mpya ya amini na barnaba inaitwa why mimi nimejaribu kuisikiliza na wenzangu ila imezuka mabishano kwamba nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.