Hii ngoma mpya ya weusi GERE ni balaa tupu .flow kali ,beat kali ,kiukweli wamekuja kitofauti sana mara ya kwanza kuisikia nilishtuka kidogo lakini baada ya kuisikiliza tena nimewaelewa sana...
Kuna wimbo mmoja wa dansi, wa siku nyingi kidogo, sehemu ya maneno ni "ikiwa majungu ni mtaji yakaufanya utarike, ikiwa majungu ni biashara itakufanya ununuliwe. Ikiwa unaonaelimu ni ghali jaribu...
jamani naomba kujua hivi huu wimbo wa zamani unaoimba "Baba na mama nipeni demokrasia ya mapenzi" uliimbwa na bendi gani na unaitwaje ?natanguliza shukrani
KILA mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, kila mtu atatoa hesabu yake mwenyewe siku hiyo ikifika
Hiki ni kipande cha wimbo ambao ulivuma na kupendwa...
Wadau especially wapenzi wa stand up comedies pamoja na Black Americans comedy movies; nani mkali kati ya hawa manguli wa kutuvunja mbavu kwa vicheko ;
Eddie Murphy
Martin Laurence
Chris Turker...
31/1/2014 pale pale nyumbani lounge, 3 anniversary and re open party ya kufa mtu na burudani Kali kutoka machozi band ikiongozwa na commando jide mwenyewe, njoo upate bahati ya kuniona live pale...
Hamjambo waku ndugu zangu? Wakati wa utoto wetu hasa tuliokulia au kuzaliwa vijijini tulikutana na burudani ya bangobango ambapo kwa sauti ya kuvutia walikonga nyonyo zetu. Nimewahi kusikiliza...
mambo vip wadau wa jf kama kichwa cha thread kinavyojieleza nahitaji msaada wapi nitaipata nyimbo ya mirro inayoitwa nibembeleze my boo,mashairi yake inasema nibembeleze kwenye beat ya mazuu jina...
Sikiliza huu wimbo wa Dr Remmy, kuna meseji ya ukweli kabisa kwa maisha ya sa hivi, unakuta mtu umekaa muda mrefu mbali na nyumbani halafu wanataka urudi utarudi vipi mikono tupu.
IMEKUWA nikiandika uchambuzi wa maoni juu ya waimbaji wa muziki wa Injili, ambapo pamoja na kazi nzuri wanayoifanya ya kufikisha ujumbe wa Neno la Mungu kwa njia ya kuburudisha, baadhi yao...
Come and join the FUN!! ↓
→UHURU WALK & TREASURE HUNT 2014.
Febuary 2nd 7A.M 6.5KM
Giving orphans a chance for better tomorrow!!
Take a step forward & contribute from Tsh 5,000/-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.