Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nimejitahiid kutune station zote toka SAA tano asubuh hadi sasa naona unaz cjaona hata kipind cha maana cjui ni mchana tuu mbona usku kdogo afadhal arrrgghh ngoja nizime nijliwaze na Jf ...maana...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
hivi jamani ninaomba kuuliza umri wa huyu mtu ili 2tatue ugomvi hapa nyumbani kuhusu umri wake
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kenya’s First Sex Movie Finally makes it to IMAX You can now watch House of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
John depp ni noumaa aisee uyu m2 napenda mambo yake ya kichiz yan kama ktk muvi ya pirates of carribean kama sparrow ila nmemkubal zaid ktk behind the scene ktk muv ya rango.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau mimi binafsi napenda sana nyimbo hizi: ukimwona by Diamond kuchapiwa siri ya ndan by Ommy D.. Naomba kujua ni wapi naweza download beat za nyimbo hizi?
0 Reactions
3 Replies
5K Views
WADAU, Kuna hii ngoma uwa inapigwa sana kwenye maeneo ya starehe inaenda na radha ya kukata mauno...yani ndio uibwa hivyo...kiuno kiuno...nimetry kuicheck youtube sijapata matokeo...so nadhani...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Inaudhi sana kuona wasanii wengi siku hizi wameanza mtindo wa kuiga dialect (lahaja) ya kinaijeria katika uandishi wao... mf. "I no de lie", "u go make me crazy" sasa hii maana yake nini? Kwani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nawatakia jumapili njema wadau wote wa JF, Mnaoenda kanisani na tunaobaki home wote tuwe na siku njema. Leo nimeona nishee na nyinyi huu wimbo wa kikundi cha Pentatonix royals, mbarikiwe wotee...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Terms and Conditions Apply ni documentary inayoonyesha jinsi mashirika makubwa ya usalama jinsi yanavyotumia internet na simu, mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter, Google na nyinginezo...
0 Reactions
0 Replies
822 Views
Moja kati ya michezo itakayoacha tabasam kwenye sura yako ni kama ilivoelezwa kwenye link hii bit.ly/1iy9g7c
0 Reactions
1 Replies
976 Views
Jana wakati akihojiwa na BBC aliyasema hayo. Baada ya mtangazaji kumwambia kuwa amepokea maoni mengi kutoka kwenye mitandao ya kijamii, kuwa wengi wanaiponda taarabu ya sasa ukilinganisha na ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Word has it that Lady Jay Dee is seeking a divorce from her husband and manager, Gadner G Habash. According to recent reports that have since been...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ENTERANCE TO THE NEW PEOPLES PARK IN MACHAKOS COUNTY,KENYA.THIS COUNTY GOVT IS WORKING H.E THE GOVERNOR MACHAKOS DR. MUTUS
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nitumie muda kidogo kutoa darsa kwa wadau wa tasnia ya filamu hususani Screenwriters, Producers and Directors. Mada ninayotaka kuzungumza ni namna ya utoaji wa Part I and Part II ya movies zetu...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Siku hizi watu hawapendi kufanya kazi wanakua wajinga nakutaka pesa bila kazi Na huyu alioandika barua ya kumuita at mahakamani nahisi ni chizi Hivi ukiitwa mahakamani kwa kesi ya madai unaambiwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KAMA kuna ujinga wanaoweza kuufanya wasanii wetu hapa nchini, basi ni kuwapoteza mashabiki wao kwa kujaribu kuwagawa kwa misingi ya itikadi za kisiasa n.k. Pamoja na ukweli kwamba siasa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
To all good music lovers, find and Listen to the new Toni Braxton & Babyface album called Love Marriage & Divorce..for sure u will enjoy!
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Siku kadhaa zilizopita kumekuwa na taarifa kuhusu kufungiwa kwa video ya Nimevurugwa ya Snura,taaarifa hizi alizi-amplify meneja wake Snura ‘Hk’ akidai kuwa sababu maalum bado hawajazipata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
iNGIA HAPA NA UONE JINSI UNAVYOWEZA FAIDA UKIWA NYUMBANI,VisitPayment.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa watembezi wa Kenya hasa jiji la Nairobi ni mashuhuda wa hili, yani kila kona kuna vibanda vinavyouza cd, na dvd za wasanii wa bongo si bongo fleva wala gospel, yani utafikiri uko kariakoo hv...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom