Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Kwenye masuala ya burudani, kampuni ya Prime Time Promotion ilijipatia zabuni ya Sh milioni 194.7. kumbe nao ni moja wa taasisi zinazoibomoa hii nchi,bse nao wametajwa ktk taasisi zilizo shiriki...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mama mzazi wa Marehem msanii wa bongo movie (comedy) na Bongo Flava Sharomilionea amefunguka kuwa mpaka leo anashangaa hajakabidhiwa baadhi ya vitu vya thamani alivyokua akimiliki mtoto wake...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Mwanzoni nilipoingia club 71 wakati imefunguliwa niliona kama club ya maana kwa watu wastaarabu.Lakini nimeifanyia tathmini na kugundua ni ya vijana zaidi.Vurugu za vijana na madem na ma-DJ wa...
0 Reactions
42 Replies
9K Views
Mwakilishi wa BBA The Chase kutoka Zimbabwe aliyejipambanua kama strong na mwenye msimamo thabiti kiasi cha kupelekea akina Feza kumuogopa kama threat, amekutana na kisanga cha mwaka baada ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu kama kuna mtu huwa anafuatilia hiki kipindi cha Pika bomu cha Startv jumatatu kimetulia sana na mwendeshaji wake mzee Ndashau,ni cha kibunifu na kinaburudisha.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii Movie ya No Retreat No Surrender nilikuwa naizimia kichizi miaka ile ya Utoto na huyo Van Damme Nilimchukia sana hadi baadae nikawa nampenda....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MASHABIKI WAMPONDA WEMA SEPETU BAADA YA KUYAANIKA MATITI YAKE MTANDAONI “Did I miss a spot…? I dunno,” ni maneno ya Wema kwenye picha aliyoiweka leo katika mtandao wa Instagram. Hata hivyo...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nimezikumbuka sana hizi nyimbo za Whitney Hauston All at once Where do broken heart go I will always love u Waiting to exhale
0 Reactions
0 Replies
840 Views
aka "Super Stereo Voice"
0 Reactions
5 Replies
5K Views
MSANII SHETTA AMALIZA BIFU NA BABA YAKE BAADA YA KUZINGUANA TANGU AKIWA NA MIAKA 7 Baraka za mwezi Mtukufu wa Ramadhan zimeitembelea familia ya Baba Qayllah, Shetta Bilal. Baada ya miaka mingi...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Writer: Jenny from BUYDVDAU Before i started watching Homeland DVD,i read an article about it, i feel more curious about this drama. I don’t get it. How could Brody and Carrie fall in love with...
0 Reactions
2 Replies
911 Views
Writer: Jenny from BUYDVDAU Homeland DVD is a good drama to watch. You will guess a lot during watching. There are not too many clear consequences, people in homeland hide deeply so it is hart to...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
kuna wimbo wa msanii wa bongo flava aitwaye nemo. unaitwa baby sema. nimeutafuta sana mitandaoni siupati.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waungwa wa JF, Naipenda sana kazi hii ya Alpha Blondy. Nimeona baadhi ya nyimbo youtube sasa nahitaji album nzima. Nitapata studio gani kwa Dar? No matter who win, Liberia is crying No matter who...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Natazama East Africa Television. Mbunge wa Bukene Tabora Mh:Suleiman Jumanne katika maelezo ametamka neno Mrabaha, badala ya Mrahaba. Kosa kama hilo lili fanywa na Mh: Naibu wa Nishati na madini...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Denzel Washington: Is His Marriage On The Rocks? Wed, July 10, 2013 1:03pm EDT by...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wastara Juma amefunguka kuwa wanaume wengi waliokuwa wakimsaidia wakati mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki' akiwa mgonjwawanamgeuka na sasa wanamtaka kimapenzi. Akizungumza kupitia Kipindi cha...
0 Reactions
5 Replies
12K Views
Filamu aliyoigiza marehemu Sajuki na mke wake Wastara ‘Kivuli’leo imeingia sokoni rasmi. Filamu hiyo iliyotayarishwa na Wajay Film Co na kusambazwa na kampuni ya Steps imewahusisha pia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamvi, nakuja kwenu kujaribu kupata mawazo yenu. Kuna track mpya ya amini na barnaba inaitwa why mimi nimejaribu kuisikiliza na wenzangu ila imezuka mabishano kwamba nani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom