Tanzania: Ministry Vow to Help Musicians Get Royalties
By Iman Mani, 2 November 2011 MAKING sure musicians receive royalties for their songs, is one of the things promised by the...
Huu ni ujumbe mahsusi kwa watu wa usalama wa raia nchini, hasa kipindi hiki , ambacho matukio ya wanachi kupigwa, kuteswa na kuuwawa yanazidi kushika kasi, huku serikali ikiwa kimya.
Download!​
Tathmini yangu kuhusu Redio ZINAZOSIKIKA HAPA ARUSHA ni kama ifuatavyo;
1. Clouds FM (87.9 Mhz)-The Peoples Station
Inastihili kuitwa SUPER BRAND kwa kazi wanazofanya. Ni wabunifu sana tena...
Huyu jamaa ni mkenya na katumia beat ya deuces,kila mstari akiimba anamalizia na "raaa!".Kwa yule anayejua jina la msanii na la wimbo naomba msaada please.
'80s Movies Forever: 20 Remakes in the Works .'About Last Night,' 'Robocop,' 'Endless Love' (Screengems/Columbia/Universal)
Did you notice that three of this week's major releases ...
Mwanzoni mwa mwaka huu Mkuu wa wilaya ya Ngara Bw Costantine Kanyasu alialikwa kuwa Mgeni rasmi katika shindano la Miss Ngara
Katika shindano hilo mshindi aliahidiwa kupewa vifaa vya Salon ya...
Wakuu habari za asubuhi...
Sisi sote si wageni tunamjua vema sana mtajwa hapo juu.
Utumishi wake tangu akiwa RTD sisi wakongwe twaijua vema sana.. kwakweli mzee huyu amekuwa ni hadhina kubwa...
Habari wapenda burudani wenzangu,, naomba kuuliza hi tamthilia inaonyeshwa channel gani kwa sasa, au naweza kuipata wapi, ilikuwa inaonyeshwa miaka ya 98 ctn, it was nice
Kiswahili kimevuka boda tena kwaa saaana.
Hollywood wanatumia kiswahili kwenye movies zao tena kwa ufasaha.
Kuna seriez inaitwa intelligence eps 5
Neno hakuna matata
Limetumiwa.
Pia kuna...
BETTER MAN
Ni story ya kweli iliyotoe Dec 2005 huko Singapore kunyongwa kwa Nguyen baada ya kukutwa na sembe,mpaka kanyongwa hadi kufa akimwacha pacha wake na mama ake, INAHUZUNISHA sana
Better...
Nimejitahiid kutune station zote toka SAA tano asubuh hadi sasa naona unaz cjaona hata kipind cha maana cjui ni mchana tuu mbona usku kdogo afadhal arrrgghh ngoja nizime nijliwaze na Jf ...maana...
John depp ni noumaa aisee uyu m2 napenda mambo yake ya kichiz yan kama ktk muvi ya pirates of carribean kama sparrow ila nmemkubal zaid ktk behind the scene ktk muv ya rango.
Wadau mimi binafsi napenda sana nyimbo hizi:
ukimwona by Diamond
kuchapiwa siri ya ndan by Ommy D..
Naomba kujua ni wapi naweza download beat za nyimbo hizi?
WADAU,
Kuna hii ngoma uwa inapigwa sana kwenye maeneo ya starehe inaenda na radha ya kukata mauno...yani ndio uibwa hivyo...kiuno kiuno...nimetry kuicheck youtube sijapata matokeo...so nadhani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.