Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Inaudhi sana kuona wasanii wengi siku hizi wameanza mtindo wa kuiga dialect (lahaja) ya kinaijeria katika uandishi wao... mf. "I no de lie", "u go make me crazy" sasa hii maana yake nini? Kwani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nawatakia jumapili njema wadau wote wa JF, Mnaoenda kanisani na tunaobaki home wote tuwe na siku njema. Leo nimeona nishee na nyinyi huu wimbo wa kikundi cha Pentatonix royals, mbarikiwe wotee...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Terms and Conditions Apply ni documentary inayoonyesha jinsi mashirika makubwa ya usalama jinsi yanavyotumia internet na simu, mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter, Google na nyinginezo...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Moja kati ya michezo itakayoacha tabasam kwenye sura yako ni kama ilivoelezwa kwenye link hii bit.ly/1iy9g7c
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Jana wakati akihojiwa na BBC aliyasema hayo. Baada ya mtangazaji kumwambia kuwa amepokea maoni mengi kutoka kwenye mitandao ya kijamii, kuwa wengi wanaiponda taarabu ya sasa ukilinganisha na ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Word has it that Lady Jay Dee is seeking a divorce from her husband and manager, Gadner G Habash. According to recent reports that have since been...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ENTERANCE TO THE NEW PEOPLES PARK IN MACHAKOS COUNTY,KENYA.THIS COUNTY GOVT IS WORKING H.E THE GOVERNOR MACHAKOS DR. MUTUS
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nitumie muda kidogo kutoa darsa kwa wadau wa tasnia ya filamu hususani Screenwriters, Producers and Directors. Mada ninayotaka kuzungumza ni namna ya utoaji wa Part I and Part II ya movies zetu...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Siku hizi watu hawapendi kufanya kazi wanakua wajinga nakutaka pesa bila kazi Na huyu alioandika barua ya kumuita at mahakamani nahisi ni chizi Hivi ukiitwa mahakamani kwa kesi ya madai unaambiwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KAMA kuna ujinga wanaoweza kuufanya wasanii wetu hapa nchini, basi ni kuwapoteza mashabiki wao kwa kujaribu kuwagawa kwa misingi ya itikadi za kisiasa n.k. Pamoja na ukweli kwamba siasa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
To all good music lovers, find and Listen to the new Toni Braxton & Babyface album called Love Marriage & Divorce..for sure u will enjoy!
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Siku kadhaa zilizopita kumekuwa na taarifa kuhusu kufungiwa kwa video ya Nimevurugwa ya Snura,taaarifa hizi alizi-amplify meneja wake Snura ‘Hk’ akidai kuwa sababu maalum bado hawajazipata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
iNGIA HAPA NA UONE JINSI UNAVYOWEZA FAIDA UKIWA NYUMBANI,VisitPayment.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa watembezi wa Kenya hasa jiji la Nairobi ni mashuhuda wa hili, yani kila kona kuna vibanda vinavyouza cd, na dvd za wasanii wa bongo si bongo fleva wala gospel, yani utafikiri uko kariakoo hv...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimestuka kuna wizi mbaya unaofanywa na wasanii hasa wa filamu,utakuta msanii anatoa movie inapart mbili,wakati angeweza kuweka part 1 tu,ila utatizama part one inaishia mtu anaenda kazini kisha...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
kutoka gazeti maarufu nchini Kenya ifuatayo ni orodha ya wasani matajiri 1.JAGUAR(KENYA) 2.PREZZO(KENYA) 3.CHAMELEON(UG) 4.BOBI WINE(UG) 5.BEBE COOL(UG) Tz tuko nyuma
0 Reactions
20 Replies
94K Views
Wadau naomba mtu mwenye kujua sehemu nzuri ambayo mtu unaweza kutoka out na ukafurahi na rafiki zako. Binafsi mimi napendelea kutembelea sehemu ambayo naweza kuogelea katika swimming pool alafu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
WAPENZI WA BLUE WA ENZI HIZO LINK HII HAPA CHINI http://www.mediafire.com/listen/46c0pzt82xl09tt/BLUES%20MIX%20NON%20STOP%201980s%20%261990s
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenye jibu naomba unambie.
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,nina shida sana na hii Tamthiliya ya La Revenge iliyotikisa Bongo miaka kadhaa iliyopita,mwenye nayo au kujua jinsi ya kuipakua aniambie.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom