Veteran huyu wa muziki tayari kishamaliza mkataba wake na M/mungu hapa duniani na sasa yupo ndani ya kaburi akiendelea na maisha mengine huko ndani kwa mujibu wa Iman ya dini yake.
Lakini...
Great thinkers hapa mtaani kwetu kuna Mipesa balaa Real super tallented young Boyz lakini mifumo inawakandamiza
mimi roho inaniuma sana kuona vijana wenzangu wenye vipaji vinavyoweza kuwafanya...
Tofauti ya BIASHARA na SIASA
ikila hasara inaweza buma
wakati SIASA kila mara ukiwa
unangara ujue kuna
kinara anayeunda msafara wa
wanaojituma na
kuchuma kwa kukufanya uwe
imara hapo...
1. The Director of This Reboot Has Worked on a Creature Feature Before Gareth Edwards
2. The Plot Centers on a Nuclear Physicist, His Son Whos a Soldier and Godzilla Himself Bryan Cranston as...
Kiwanja cha Burudani leo ni Nyumbani Lounge pekee karibu uone Historia ya pekee ya lady jdee uku akisindikinzwa na Prof Jay na suprize za kutosha uku kesho tukienda kuchukua Tuzo zetu pale Mlimani...
Le le le
Le le le le le le le
A le le
A le le o le
Chorus:
Aa yeee
(Oya shekele)
Aaa yeee
Cause you want my love o
She no want designer
She no want Ferarri
She say na my love o
You...
"Kwanza mapenzi safari, ujana ni maji ya moto
Walinenaga zamani...
Pili tumetoka mbali, matatizo changamoto
tu visa visa fulani...
tatu kidonda chako kwangu maradhi
Mama tu usononekapo kwangu...
Kwa wale ambao walikuwa wanafatilia hii series au kama ulikuwa unapanga kuiangalia bad News ni kwamba haitakuwa renewed kwa season ya pili..., TV Network Fox imei-cancel kwahio kama utaangalia...
people spend a lot of time and money for making movies and they earn a lot of money,while others wasting their time watching movies and being poor.sasa wakuu nimetafakari sana,na mimi huwa napenda...
Jamani sikuwahi nunua album ya mwanamuziki.Leo nimenunua ni mapinduzi makubwa.
Inaitwa MISULI YA IMANI ni ya jamaa anaitwa AMBWENE MWASONGWE,daa hakika ni nyimbo zenye kugusa sana.
MASHINDANO YA KIMATAIFA YA SABA YA MCHEZO WA BAO
=====================================
KIBA (Klubo Internacia de Bao Amantoj) linaandaa Mashindano ya Kimataifa
ya Saba ya Mchezo wa Bao...
Habari za jumapili wana jf. Mimi ni mmoja kati ya wafuatiliaji wa series. Hasa nzuri na za kuvutia. Samahanini ila kuna huyu mshenzi anaitwa JERRY BRUCKHEIMER ameyengeneza serie inaitwa Hostages...
Leo nilikuwa naangalia filamu ya Bongo Movie, kupitia king'amuzi cha Azam Tv, nikakutana na maneno ya kiingereza cha ajabu kilichotumiwa katika tafsiri (subtitles), lengo likiwa kutoa tafsri kwa...
Binti commando lady jay dee ana show tarehe 2 May pale pale nyumbani lounge parking. Vipi ndugu zangu wa mjengoni clouds FM hamuandai show au mnaogopa K.O nyingine??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.