Kundi la weusi

Kundi la weusi

mtengwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
1,603
Reaction score
871
Hili ni kundi la mziki wa Hip Hop, likijumuisha wasanii kutoka Arusha Joh Makini, Nikki wa II, G Nako, Bonta na Lord Eyes ( amesimamishwa kwa muda). Ni kundi ambalo kwa sasa liko juu sana hasa baada ya kutoka na ngoma ya Nje ya Box, Bei ya Mkaa na Gere. Ukiachana na ngoma binafsi za kila msanii. Wenyewe wanakuambia Weusi sio kundi ila ni kampuni. Kwa sasa nawaona wakianza kupata mafaniko zaidi kwenye muziki kuliko kipindi chote, hata video zao mpya nje ya box na Gere ni za kimataifa. Lengo la uzi huu ni kujadili juu ya mafanikio yao na nani ambae yuko nyuma ya mafanikio yao.
 
Weusi.jpg
 
WEUSI - GERE lyrics [

Intro - Joh]
Yeah!
You know whats happening
when Weuse meets Nahreel,
right? Oyayoo...ooohoo
A city in the house!
Oyayoo...ooohoo
Lets go!! [

Gnako]
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere! You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!

[Joh Makini]
Kubadili hizi mboga mbili tu
tabu kwa mswahili
Mganga hana mashairi jomba
ni bure kupiga ramli
Flow Weusi ni mbele, kanzu tobo ka Pele
Mboyoyo mingi kelele, kamata
tupa kule
Wajukuu wa Nyerere, chuki
zako ni bure
Kiunoni ni sime njele, juu sipendi kelele
Mavumba ni baba Fere,
Temeke huita michele
Karibu gheto ni sherehe, Weusi
hatuna kwere
Nina kibali juu ya mdundo huu so sina sorry
Sinyasori wapi Shaa sina story
Wivu ni kidonda umeshiriki
ugua pole
Chakati juu kiki...woo
woo!...pole pole

[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere! You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!

[Nikki Wa Pili]
Sio gweraa hii jombaa Nikki
yule yule
Nilivyovaa, nilivyong'aa ni
kimulimuli
Viburi flow Idd Amin like nduli nduli
Brain kubwa, ndoto kubwa za
manguli nguli
Watoto nao ni kibao siku hizi
sipigi puli
Usijikombe chonde chonde na makonde bure
Punguza njaa lia ubao jomba
kaza msuli
Kwenye hela ndo watoto
wanatulia tuli
Benchi mnasugulia ha..hamna carrier
Ah! mziki kama mbege
kwangu suna kulia
Ah! Yesu na Maria! Ah! Ndo
tunatulia
Ndo nguna inaliwa, imebarikiwa
Get it?

[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere! You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! [Gnako]
Kimbiza kimbiza...Usain Bolt
Tupo center ya mchezo...centre
bolt
Hatuna penda love, Weusi mtu
tano Center half no beef..no..no..no!
Tulifanya ndafu, mchezo
unatupa bread
Mda wa chai ujuzi unasambaza
umbea
Mkuda hakai, hatuongei ongei Tunafanya hatufanyi fanyi,
tunafanya kazi
Mungu hakupi roho mbaya
Sshh! Umeipandikiza
Kichwa chako passport, uwezo
wako ndo Visa Aaah! Tuna viburi eeh? Tuna
flow vizuriii

[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere! You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
...kwere!
...gere! ...kwere!
...gere!

[Outro]
*kinanda kinanyongwaaaa*
 
Mie penda sana joh makin,enzi hizo nasoma uhuru primary, alikua anapenda kukaa kwenye salon moja pale metropole,napenda sana anavyoimba lol,mungu azidi kuwapa haja ya mioyo yao wafike mbali!weusiiii!
 
WEUSI - GERE lyrics [

Intro - Joh]
Yeah!
You know whats happening
when Weuse meets Nahreel,
right? Oyayoo...ooohoo
A city in the house!
Oyayoo...ooohoo
Lets go!! [

Gnako]
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere! You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!

[Joh Makini]
Kubadili hizi mboga mbili tu
tabu kwa mswahili
Mganga hana mashairi jomba
ni bure kupiga ramli
Flow Weusi ni mbele, kanzu tobo ka Pele
Mboyoyo mingi kelele, kamata
tupa kule
Wajukuu wa Nyerere, chuki
zako ni bure
Kiunoni ni sime njele, juu sipendi kelele
Mavumba ni baba Fere,
Temeke huita michele
Karibu gheto ni sherehe, Weusi
hatuna kwere
Nina kibali juu ya mdundo huu so sina sorry
Sinyasori wapi Shaa sina story
Wivu ni kidonda umeshiriki
ugua pole
Chakati juu kiki...woo
woo!...pole pole

[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere! You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!

[Nikki Wa Pili]
Sio gweraa hii jombaa Nikki
yule yule
Nilivyovaa, nilivyong'aa ni
kimulimuli
Viburi flow Idd Amin like nduli nduli
Brain kubwa, ndoto kubwa za
manguli nguli
Watoto nao ni kibao siku hizi
sipigi puli
Usijikombe chonde chonde na makonde bure
Punguza njaa lia ubao jomba
kaza msuli
Kwenye hela ndo watoto
wanatulia tuli
Benchi mnasugulia ha..hamna carrier
Ah! mziki kama mbege
kwangu suna kulia
Ah! Yesu na Maria! Ah! Ndo
tunatulia
Ndo nguna inaliwa, imebarikiwa
Get it?

[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere! You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! [Gnako]
Kimbiza kimbiza...Usain Bolt
Tupo center ya mchezo...centre
bolt
Hatuna penda love, Weusi mtu
tano Center half no beef..no..no..no!
Tulifanya ndafu, mchezo
unatupa bread
Mda wa chai ujuzi unasambaza
umbea
Mkuda hakai, hatuongei ongei Tunafanya hatufanyi fanyi,
tunafanya kazi
Mungu hakupi roho mbaya
Sshh! Umeipandikiza
Kichwa chako passport, uwezo
wako ndo Visa Aaah! Tuna viburi eeh? Tuna
flow vizuriii

[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere! You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere! Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani
usione gere...gere!
...kwere!
...gere! ...kwere!
...gere!

[Outro]
*kinanda kinanyongwaaaa*

Hii ngoma tamu sana, kila mtu katendea haki verses na flow maana Joh kakimbiza, Nikki kaua alafu Wara wara ndo kamaliza kabisa
 
Mafanikio Ndo Yap Walio Nayo Awa Wasani Bwana Wakisha Julikana Tu Kidogo Utasikia Kampun Ndo Nin Manake .
Mafanikio Haya Tajwi Yana Kionyesha Yenyewe Haya We Una Andika Mafanikio Ya Kasi Sana Yapi Sasa But Haina Haja We Wasaport Tu Kimzki Yao Apo Sawa,
Kwa 7babu We Utasema Ivo Akat Mamake Arusha Anakufa Na Njaa Maanake Nini?
 
He is so smart yaani, wamemchagua kuwa msemaji wao, ukimsikia unajua kabisa huyu ni msomi

alikua mpiga punyeto bingwa huyu jamaa ila ukimuona alivyo mstarabu huwezi kumdhania





'siku hizi watoto kibao
sipigi puriiii, hio ni moja ya mistari yake kwenye wimbo wa gere inayothibitisha alikua mwanachama hai wa chaputa
 
alikua mpiga punyeto bingwa huyu jamaa ila ukimuona alivyo mstarabu huwezi kumdhania





'siku hizi watoto kibao
sipigi puriiii, hio ni moja ya mistari yake kwenye wimbo wa gere inayothibitisha alikua mwanachama hai wa chaputa

Hawez salit atakama awe na mademu mia believe me!
 
Back
Top Bottom