Hahahah duhhh, JF Nooma.
Yaani mzee unataka uipate ukamuimbie mtoto.
Mie naujua mwanzo mwisho labda nikuimbiea kisha U Copy na kupaste mistari kisha umtumie huyo Dem lazima utampata kwa mistari iliyomo mle.
Mzee unataka kuhonga hadi roho,hahaha kazi kweli