Track mpya ya Moyo wangu iliyoimbwa na msanii mwenye kipaji, ujuzi wa sauti na utunzi Spacio "Prince wa Masauti" yawa gumzo tz. Ni baada ya wiki chache kutambulishwa clouds.
Je, wewe umepata...
Ukizungumzia reggae kuna Bob marley, ukija miondoko ya Rock kuna Elvis presley, Pop yupo mtu mzima Michael Joseph Jackson, Hip hop wapo Tupac na Notorious....je nani ameifanyia makubwa zaidi...
Nimetumia account hii (sio akaunti yangu) nikiwa na lengo la kufikisha ujumbe huu.
Jina langu naitwa Blessing(sio mmiliki wa account hii) Jina langu naitwa Blessing nIna umri wa miaka 19 ni...
Hawa jamaa nawakubali sana! naomba mwenye nyimbo za k basili ''wanipa raha" na nyingine aniwekee nipakue pia mwenye wimbo wa Linex-Aifola aniwekee pia! waptrick hizi nyimbo hazipo! naomba msaada...
Nimeitembelea leo hii tovuti, wanadai wanatangaza bure kazi za wasanii pamoja kuuza muziki kwa gharama nafuu. Tovuti iko njema sana na kilichonifurahisha ni kuwa wanatoa mrabaha wa asilimia sitini...
Hii ni orodha kamili ya washindi wa AFRIMMA 2014
Best DJ Africa 2014- Dj Black (Ghana)
Best African DJ USA 2014 Dj Josh (Kenya)
Best Video of the Year 2014- Flavour (Nigeria)
Best Male East...
Yule mfadhili wa ujambazi Tz na raia wa Nigeria, Kingsley O.Ugiagble ameondolewa nchini huku akitamba kuwa serikali haiwezi kumfanya lolote.
Kingsley alikuwa akilindwa na maofisa vigogo walioko...
Zinaitwa African Muzik Magazine Awards ambapo za mwaka huu 2014 zimetolewa huko Eisemann center Texas Marekani na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali akiwemo Diamond wa Tanzania ambae pia alikua...
C1: Likolo na ngai
Na bososoli masiya
Na bozalisami ya Yo
Kati na motema
Nde lokola bozui na ngai
Awa na se na moyi
Nionso yo okoma po na ngai
Pe oyo osala po na ngai
Yango nde...
Just when you thought popular Nairobi it-girl Vera Sidika had done the most extreme by bleaching her skin, the self-styled girl returned to Nairobi from her recent tour with another shocker...
Ili kuziwesha kupata soko kimataifa, movies zetu zimewekewa maneno ya kiingereza ili kutafasiri kinachoongelewa kwa kiswahili.
Cha ajabu English structure na grammar katika sentensi hizo ni mbaya...
Habari wana jamvi!
Nahitaji series za 24. Kama yupo mdau mwenye hiyo 24 kwenye Hdd, high quality anijulishe, nitachangia kidogo.
Kuanzia Season 1 hadi hii iliyoisha juzi juzi Uingereza.
Nipo Dar.
Ikiwa leo anatalajia kusafiri kwenda jijin Texas kwenye utoaji wa tuzo za AFRIMMA, ambazo anawania category tano,President wa WCB..@diamondplatnumz ametajwa kuwania tuzo zingine barani Africa...