Wakuu poleni na majukum ya kila siku.
Leo naona kila mmoja atueleze kibao cha bendi au mwanamuziki wa zamani kilivomuingia moyoni na ukiusikiliza wimbo huo unakumbuka nini
Mimi nakumbuka kibao cha Tom Malanga (Sina Makosa) hapo sitosahau mpenzi wangu alivotorokea Kisii Kenya akinacha Mwanza.
Leo naona kila mmoja atueleze kibao cha bendi au mwanamuziki wa zamani kilivomuingia moyoni na ukiusikiliza wimbo huo unakumbuka nini
Mimi nakumbuka kibao cha Tom Malanga (Sina Makosa) hapo sitosahau mpenzi wangu alivotorokea Kisii Kenya akinacha Mwanza.