Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,400
- 138,662
Hivi ni mimi tu ninayedhani ushepu wa huyu kipusa unahusika?
Halafu sidhani kabisa kama kuna hata chembe ya viambato bandia hapo. Nadhani kila kitu ni asilia.
The Boss hebu nipe mkataa wako - nani zaidi: binti Sanga au Masogange?
hahaaa Bado Masogange zaidi but huyu motto anamkaribia,...Ngabu unamjua Rebecca Nanziri wa Uganda?